Banjuka
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 1,006
- 1,931
Wale wasiokuwa na kitu hawapati changamoto kama yule ambae alipata fedha halafu zikamuisha, huyo ana kazi ya ziada.Aisee mkuu ni kweli kukosa hela kubaya sana
Ukipata shida ndo utaelewa ubaya wa umaskini
Kwa kweli tutafute hela, hela ina raha yake
Hela ina heshma yake
Nawazia watu wasio na kipato kabisa namna wana survival nakosa majibu
Kusaidiana kumekuwa nadra sana