gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 683
- 956
Hapo math wanataka angalau spate kuanzia DMkuu, kwa hyo mwenye F ya Math au E hachukuliwi..?
Hapo math wanataka angalau spate kuanzia DMkuu, kwa hyo mwenye F ya Math au E hachukuliwi..?
Mkuu itakuwa unamaanisha Foundation course kwa mtu asiye na D au C in math au Phys... etmkuu vipi foundation course huwa mnatoa kwa yule ambae ana C na D mbayo,ni ya phy na math? na ada yake ni kiasi gani na inaanza lini?
nina mdogo wangu ana C ya phy na D ya math mengine ana E hana F matokeo ya 2013Mkuu itakuwa unamaanisha Foundation course kwa mtu asiye na D au C in math au Phys... et
Kama ana cheti cha ufundi veta level 3 anaambatanisha na hicho cha form anaweza kupata nafasi..nina mdogo wangu ana C ya phy na D ya math mengine ana E hana F matokeo ya 2013
ninazo sifa zote!vipi soko la kozi za maji mkuu!
Mkuu kwa jinsi nilivyocheck lile Tangazo lao.. watu wa art hawahitajiki.. wanachukuliwa waliosoma sayansi tu na kufauluNa vijana waliosomea art wanaweza jiunga na cozi gani hapo chuon
Mkuu nilienda wame kataa wanasema Mathe lazima upate hata D kwa couz zoteMKUU namshukuru aliyeleta hizo taarifa za CHUO cha maji ila hayuko current na entry qualification mpya, hizo za kuwa na C moja ni za ZAMANI. Kwasasa ili ujiunge unatakiwa uwe na kuanzis D NNE tu kama NACTE wanavyotaka ila D tatu ziwe combination za PCM,PCB,PGM,CBA na CBG na D ya NNE liwe somo lolote ila lisiwe LA dini tu
Huo sasa msala, wengine wengine wana "E" za Math..Mkuu nilienda wame kataa wanasema Mathe lazima upate hata D kwa couz zote
Mkopo unaomba kupitia form yao ya mkopoMkopo unapataje
Mkuu itakuwa unamaanisha Foundation course kwa mtu asiye na D au C in math au Phys... et
Sawa mkuuKwa sasa Foundation courses/Access Courses zimezuiliwa na Wizara ya Elimu.
Kwa matokeo haya o level math B chemistry B+ biology B physics C...na advance phy D chem D math E je possibility ya kupata Chuo cha Maji bachelor ipooo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ya o level ni phy C math B chem B+ biology B Geo C na advance ni.......Courses zote tunazotoa zinahitaji at least D ya Mathematics katika matokeo yako ya form 4. Kwa ufahuru wako, hapana Itashindikana.
Kama bado una ndoto za kuja kusoma Diploma Chuo cha Maji, unaweza kujaribu kurudia Mtihani wa Mathematics na ku apply tena.