Habari wana jukwaa.
Chuo cha Maji kinapenda kutangaza nafasi za masomo katika ngazi ya certificate na diploma kwa mwaka wa masomo 2017/18.
Courses zitolewazo katika chuo hiki ni:
- Water Supply and Sanitation Engineering
- Irrigation Engineering
- Water Quality and Laboratory Technology
- Hydrogeology and Water Wells Drilling na
- Hydrology and Meteorology.
Course zote tajwa hapo juu ni za Miaka Mitatu kwa ngazi ya Diploma.
Jinsi ya ku-apply:
Kutokana na tamko la NACTE la tarehe 10 May 2017, maombi yote yanatakiwa yafanyike moja kwa moja katika chuo husika. Hivyo, form za kujiunga zinapatikana katika website ya chuo:
http://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents/en/1494505610-INVITATION OF APPLICATIONS FOR DIRECT ENTRY ADMISSION TO ORDINARY DIPLOMA PROGRAMS 2017-2018.pdf na
http://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents/en/1494488041-WATER INSTITUTE APPLICATION FORM 2017-18.pdf
Masomo yataanza Tarehe 30 October 2017.
Mkopo kutoka Chuo cha Maji
Chuo cha Maji pia kwa kushirikiana na The Registered Trustees of Water Technician Fund na wadau wengine mbalimbali, kinatoa Mikopo pia kwa wanafunzi wapya na wanaoanza masomo katika ngazi ya Diploma na Certificate. Mikopo inaweza kua moja kati ya Ada ya mwaka, Pesa ya kujikimu (Chakula) au Maradhi.
Form za kuapply mikopo zilianza kutolewa kuanzia tarehe 24 Aprili 2017 na mwisho wa kupokea fomu ni tarehe 30 Agosti 2017 saa 10:00 Jioni (kumi kamili).
Wanawake/wasichana wanahimizwa sana ku-apply.
Huduma za Hostel
Chuo kinatoa huduma za maradhi kwa baadhi ya wanafunzi kwa kufuata vigezo vya umbali kutoka nyumbani, jinsia, na disabilities. Wanafunzi ambao wana ndugu Dar es Salaam au wanaweza kupanga nyumba jirani na chuo wanahimizwa kukaa nyumbani au kupanga nje ya maeneo ya Chuo.
Form unaweza kuzituma kwa njia ya Posta au ukazileta moja kwa moja chuoni.
Chuo kipo Dar es Salaam, Ubungo, barabara ya