Nafasi za masomo katika chuo cha maji

Nafasi za masomo katika chuo cha maji

Nina mdogo wangu ana
Civics- D
Chemistry- D
Physics- D
Biology- D
Matherm- F
History -D

Vip anaweza kujiunga na chuo cha maji?? kama anaweza Coz ipi ??
MKUU namshukuru aliyeleta hizo taarifa za CHUO cha maji ila hayuko current na entry qualification mpya, hizo za kuwa na C moja ni za ZAMANI. Kwasasa ili ujiunge unatakiwa uwe na kuanzis D NNE tu kama NACTE wanavyotaka ila D tatu ziwe combination za PCM,PCB,PGM,CBA na CBG na D ya NNE liwe somo lolote ila lisiwe LA dini tu
 
Aje
Habari,mdogo wangu matokeo yake ya o-level ni haya :-
1.Mathematics -B
2.Book keeping -A
3.History -C
4.Kiswahili -D
5.Geography -D
6.English -D
7.Commerce -D
8.Biology -D
9.Civics -D

1.Je,akiwa na :-
-certificate in PC maintainace and network engineering(Veta-kipawa) anaruhusiwa kujiunga na diploma in water supply and sanitation?

Au
-certificate in maintainace engineering (Bandari college) ataweza kujiunga diploma in water supply and sanitation?

2.Ikiwa haiwezekani,Je ni kozi ipi ya certificate ya mwaka mmoja anatakiwa asome ili aweze kujiunga na Diploma baadae hapo chuo cha maji?

3.Na je kozi hiyo ya cheti akasomee chuo gani?

Nayasubiri majibu ili tujue pa kuanzia
Aje CHUO apate ushauri kozi ya kusoma ila anaqualify
 
Nimefurahishwa na ufafanuzi huu wa Chuo Cha Maji, Ni vyema vyuo vingine vikawa vinatumia jukwaa kama hili kuwapasha wananchi habari kuhusu vyuo vyao, Shukrani.
Kabisa
 
MKUU uliza tu najibu KWA niaba take CHUO nakijua vzr
Nataka nijue kwa ufaulu huu kozi ya water labo inamatch... ?
Bios .. C
Chem.. D
Geog... D
Math... E
Eng... D
Kisw.. B
course ya water labo..
 
Nina wadogo zangu mapacha wanamatokeo haya wa kwanza division 3 ya 24,
Civics D
History D
Geography D
Kiswahili C
English C
Physics D
Chemistry C
Biology D
Mathematics F je huyu ataweza kupata course gani ya diploma?
 
Na mwingine ana division 3 ya point 25
Civics D
History D
Geography D
Kiswahili C
English C
Physics D
Chemistry D
Biology C
Math F.
Je na huyu anaweza kupata course gani ya diploma?
 
Generally naomba kufahamu kama wanaweza kupata hata course za Afya kwa diploma? Msaada wenu tafadhali
 
Mkuu huyo atapata tu, nakushauri fika chuoni ukaonane na admission oficer kwa ushauri zaidi
Me nipo mkoani mkuu... So nikitaka nijue then nifanye process za kurequest maombi hapo via posta
 
Na mwingine ana division 3 ya point 25
Civics D
History D
Geography D
Kiswahili C
English C
Physics D
Chemistry D
Biology C
Math F.
Je na huyu anaweza kupata course gani ya diploma?
Ila hapo hesabu itamuharibia alitakiwa awe na angalau D
 
Back
Top Bottom