Nafasi za masomo katika chuo cha maji

Nafasi za masomo katika chuo cha maji

Kwamatokeo haya naweza kujiunga na chuo cha maji katka kozi gani? Physics sijasoma. Matokeo ni kama ifuatavyo
Civics-D
History-C
Geography-D
Kiswahil-D
English-D
Chemistry-F
Biology-D
B/math-D

Division- IV point 27
 
Nina mdogo wangu ana
Civics- D
Chemistry- D
Physics- D
Biology- D
Matherm- F
History -D

Vip anaweza kujiunga na chuo cha maji?? kama anaweza Coz ipi ??
 
Habari,mdogo wangu matokeo yake ya o-level ni haya :-
1.Mathematics -B
2.Book keeping -A
3.History -C
4.Kiswahili -D
5.Geography -D
6.English -D
7.Commerce -D
8.Biology -D
9.Civics -D

1.Je,akiwa na :-
-certificate in PC maintainace and network engineering(Veta-kipawa) anaruhusiwa kujiunga na diploma in water supply and sanitation?

Au
-certificate in maintainace engineering (Bandari college) ataweza kujiunga diploma in water supply and sanitation?

2.Ikiwa haiwezekani,Je ni kozi ipi ya certificate ya mwaka mmoja anatakiwa asome ili aweze kujiunga na Diploma baadae hapo chuo cha maji?

3.Na je kozi hiyo ya cheti akasomee chuo gani?

Nayasubiri majibu ili tujue pa kuanzia
 
Kwa matokeo haya ni vema nisomee kozi gani hapo ambayo ni marketable!

Chemistry B

Engineering Science C

Basic Mathematics C

English C

Kiswahili C

Geography C

Surveying D

Architectural Drawing D

Building Construction D

Na mkopo vipi?
Mkuu masomo haya yanatolewa shule gani O-level?
Au umejumlisha na ya chuo?
Je ni kozi gani ulisoma?

Nitashukuru niipata majibu
 
Habari wana jukwaa.
Chuo cha Maji kinapenda kutangaza nafasi za masomo katika ngazi ya certificate na diploma kwa mwaka wa masomo 2017/18.

Courses zitolewazo katika chuo hiki ni:
  1. Water Supply and Sanitation Engineering
  2. Irrigation Engineering
  3. Water Quality and Laboratory Technology
  4. Hydrogeology and Water Wells Drilling na
  5. Hydrology and Meteorology.
Course zote tajwa hapo juu ni za Miaka Mitatu kwa ngazi ya Diploma.

Jinsi ya ku-apply:
Kutokana na tamko la NACTE la tarehe 10 May 2017, maombi yote yanatakiwa yafanyike moja kwa moja katika chuo husika. Hivyo, form za kujiunga zinapatikana katika website ya chuo: http://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents/en/1494505610-INVITATION OF APPLICATIONS FOR DIRECT ENTRY ADMISSION TO ORDINARY DIPLOMA PROGRAMS 2017-2018.pdf na http://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents/en/1494488041-WATER INSTITUTE APPLICATION FORM 2017-18.pdf

Masomo yataanza Tarehe 30 October 2017.

Mkopo kutoka Chuo cha Maji

Chuo cha Maji pia kwa kushirikiana na The Registered Trustees of Water Technician Fund na wadau wengine mbalimbali, kinatoa Mikopo pia kwa wanafunzi wapya na wanaoanza masomo katika ngazi ya Diploma na Certificate. Mikopo inaweza kua moja kati ya Ada ya mwaka, Pesa ya kujikimu (Chakula) au Maradhi.
Form za kuapply mikopo zilianza kutolewa kuanzia tarehe 24 Aprili 2017 na mwisho wa kupokea fomu ni tarehe 30 Agosti 2017 saa 10:00 Jioni (kumi kamili).
Wanawake/wasichana wanahimizwa sana ku-apply.

Huduma za Hostel

Chuo kinatoa huduma za maradhi kwa baadhi ya wanafunzi kwa kufuata vigezo vya umbali kutoka nyumbani, jinsia, na disabilities. Wanafunzi ambao wana ndugu Dar es Salaam au wanaweza kupanga nyumba jirani na chuo wanahimizwa kukaa nyumbani au kupanga nje ya maeneo ya Chuo.

Form unaweza kuzituma kwa njia ya Posta au ukazileta moja kwa moja chuoni.
Chuo kipo Dar es Salaam, Ubungo, barabara ya kwenda Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Pia unaweza ku-download form zote Tatu hapa katika hii post.

Asanteni na karibuni Sana.
Habari,mdogo wangu matokeo yake ya o-level ni haya :-
1.Mathematics -B
2.Book keeping -A
3.History -C
4.Kiswahili -D
5.Geography -D
6.English -D
7.Commerce -D
8.Biology -D
9.Civics -D

1.Je,akiwa na :-
-certificate in PC maintainace and network engineering(Veta-kipawa) anaruhusiwa kujiunga na diploma in water supply and sanitation?

Au
-certificate in maintainace engineering (Bandari college) ataweza kujiunga diploma in water supply and sanitation?

2.Ikiwa haiwezekani,Je ni kozi ipi ya certificate ya mwaka mmoja anatakiwa asome ili aweze kujiunga na Diploma baadae hapo chuo cha maji?

3.Na je kozi hiyo ya cheti akasomee chuo gani?

Nayasubiri majibu ili tujue pa kuanzia
 
Courses zitolewazo katika chuo hiki ni:
  1. Water Supply and Sanitation Engineering
  2. Irrigation Engineering
  3. Water Quality and Laboratory Technology
  4. Hydrogeology and Water Wells Drilling na
  5. Hydrology and Meteorology.
Asante kwa taarifa.

Hivi hapo Chuoni huwa mna utaratibu wa kutoa short trainings (1-2 weeks) kwenye maeneo kama geophysical investigations na water points mapping using GIS?
 
Habari wana jukwaa.
Chuo cha Maji kinapenda kutangaza nafasi za masomo katika ngazi ya certificate na diploma kwa mwaka wa masomo 2017/18.

Courses zitolewazo katika chuo hiki ni:
  1. Water Supply and Sanitation Engineering
  2. Irrigation Engineering
  3. Water Quality and Laboratory Technology
  4. Hydrogeology and Water Wells Drilling na
  5. Hydrology and Meteorology.
Course zote tajwa hapo juu ni za Miaka Mitatu kwa ngazi ya Diploma.

Jinsi ya ku-apply:
Kutokana na tamko la NACTE la tarehe 10 May 2017, maombi yote yanatakiwa yafanyike moja kwa moja katika chuo husika. Hivyo, form za kujiunga zinapatikana katika website ya chuo: http://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents/en/1494505610-INVITATION OF APPLICATIONS FOR DIRECT ENTRY ADMISSION TO ORDINARY DIPLOMA PROGRAMS 2017-2018.pdf na http://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents/en/1494488041-WATER INSTITUTE APPLICATION FORM 2017-18.pdf

Masomo yataanza Tarehe 30 October 2017.

Mkopo kutoka Chuo cha Maji

Chuo cha Maji pia kwa kushirikiana na The Registered Trustees of Water Technician Fund na wadau wengine mbalimbali, kinatoa Mikopo pia kwa wanafunzi wapya na wanaoanza masomo katika ngazi ya Diploma na Certificate. Mikopo inaweza kua moja kati ya Ada ya mwaka, Pesa ya kujikimu (Chakula) au Maradhi.
Form za kuapply mikopo zilianza kutolewa kuanzia tarehe 24 Aprili 2017 na mwisho wa kupokea fomu ni tarehe 30 Agosti 2017 saa 10:00 Jioni (kumi kamili).
Wanawake/wasichana wanahimizwa sana ku-apply.

Huduma za Hostel

Chuo kinatoa huduma za maradhi kwa baadhi ya wanafunzi kwa kufuata vigezo vya umbali kutoka nyumbani, jinsia, na disabilities. Wanafunzi ambao wana ndugu Dar es Salaam au wanaweza kupanga nyumba jirani na chuo wanahimizwa kukaa nyumbani au kupanga nje ya maeneo ya Chuo.

Form unaweza kuzituma kwa njia ya Posta au ukazileta moja kwa moja chuoni.
Chuo kipo Dar es Salaam, Ubungo, barabara ya kwenda Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Pia unaweza ku-download form zote Tatu hapa katika hii post.

Asanteni na karibuni Sana.


Nina mdogo wangu ana
Civics- D
Chemistry- D
Physics-D
Biology- D
Matherm- F
History -D
Vip anaweza kujiunga na chuo cha maji?? kama anaweza Coz ipi ??
 
Mkuu masomo haya yanatolewa shule gani O-level?
Au umejumlisha na ya chuo?
Je ni kozi gani ulisoma?

Nitashukuru niipata majibu
masomo haya hutolewa kwenye shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania,shule hizo ni Tanga Technical,Ifunda Technical,Moshi Technical,Iyunga Technical na Mtwara Technical na kama sikosei Bwiru Boys.
 
Hivi huyu Mr Kiongozi wa chuo cha maji Ubongo mbona haji kutujibu haya maswali yetu...?
Maana mda unaenda tunaka tuombe.. So sasa hatujui cha kufanya.
 
Duh!Hongera kwao,sisi wengine hata kama tuna nia ya kusoma tutaishia getini tu,pesa ngumu!Dah,huu ni mwaka wa 4 sasa nazunguka na Division II yangu.Tanzania balaa tupu 🙁 🙁
UNATAKA KUSOMEA NINI MKUU
 
Kwa matokeo haya ni vema nisomee kozi gani hapo ambayo ni marketable!

Chemistry B

Engineering Science C

Basic Mathematics C

English C

Kiswahili C

Geography C

Surveying D

Architectural Draughting D

Building Construction D

Na mkopo vipi?
HONGERA SANA
 
Back
Top Bottom