mambo! jaman wadau me nimemaliza chuo sheria mwaka huu nataka kwenda uhamiaji maana ajira ngumu, kwa anayejua posts ztatoka lin na jinsi ya kuaply naomba anijuze... thanx
Kaka hata mimi najaribu kusearch sn jinsi ya kuweza kuingia uhamiaji, 2naomba m2juze jaman, nafasi za uhamiaji wanatoa mwezi upi? Na kwenye magazeti yapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.