Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

Napenda kuuliza walofanya Oral interview Dodoma ya NMB, vipi washaanza kuita?
 
napenda kuuliza walofanya oral interview dodoma ya nmb vp washaanza kuita?

Nmb wameamua kuajiri this time
Central zone,western zonal,Eastern zonal!! Nazan coast zonal walishafanyisha watu usaili, bado lake zone, highland zone, northern zon! Southern zone
 
Da kaz ipo kupata kaz. Ila ashukuru mungu nmepata shule nalsha vpndi huku mdogn mdogo nk2ma post.
 
kwa ninavofaham nmb wakitoa post za kazi ni almost zone zote,kwa sasa dar washafanya intervw,central zone tayar cjajua zone nyingine,ila kama uko karib na bank ya nmb tembelea hua wanabandika ofcn kwao
 
kwa ninavofaham nmb wakitoa post za kazi ni almost zone zote,kwa sasa dar washafanya intervw,central zone tayar cjajua zone nyingine,ila kama uko karib na bank ya nmb tembelea hua wanabandika ofcn kwao

Kama walitangaza mbona hamkuziweka jamvini?? Wabaya nyie
 
Mbona sielewi,wanatma kupitia posta au online?,nijuzen wakuu
 
Mim pia nliomba central zone lakn mbona cjapata information zozote?,majna walitoa wapi wakuu?
 
Mim pia nliomba central zone lakn mbona cjapata information zozote?,majna walitoa wapi wakuu?

Nmb hua wanatwanga simu,
ukiona landline inaring kwenye screen ya simu yako,pick up the fone haraka sana!!!
 
Wadau naleta kwenu
Uzi
Mwenye kujua ni chance zipi,vigezo na mwisho wa kutuma maombi ni lini!!
Maana hawa jamaa nao washaanza ujinga!! Hawatangazi kwenye magazeti!!!!
Wanazitoa kimya kimya!!

-------------------

naomba kujuzwa bank officer/teller ni position moja au??....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom