Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,926
- 1,159
Aliyepata naomba anitumie ktk likwandaa@gmail.com
Mulioniomba wote nimewatumia kwenye mail zenu
MAWAZO UJENZI si umtumie Moderator au Invisible ili airushe hapa jamvini!
Au una'enjoy watu wakutumie email zao humu?
Poa mkuu,kama Godfather yupo ushadaka job tayari, kama hayupo tusubilie miujiza!!!
Tayari nimetuma
Poa mkuu!! Mungu akipenda tukutane kwenye usail
msaada wako mkuu email yangu ni alphonce.masanja@yahoo.com
Invisible nakuomba,ziweke hizo nafasi za kazi,watu wakukuruke nazo!!
Wadau naleta kwenu Uzi
Mwenye kujua ni chance zipi,vigezo na mwisho wa kutuma maombi ni lini!! Maana hawa jamaa nao washaanza ujinga!! Hawatangazi kwenye magazeti!!!!
Wanazitoa kimya kimya!!
-------------------
Poa mkuu!! Mungu akipenda tukutane kwenye usail
Mulioniomba wote nimewatumia kwenye mail zenu