Taarifa hizi niza kweli nna mdau wangu kanidokeza juu ya hili ila yeye amenieleza ni western zone
west ni mikoa ip kwa nmb mkuu?
Taarifa hizi niza kweli nna mdau wangu kanidokeza juu ya hili ila yeye amenieleza ni western zone
Mimi nipo porini,natumia simu inashondwa kuattach document na kuiweka jamvini,kuna watu nimewatumia kwenye mail zao waliweke jamvini Kama vipi
Mimi nipo porini,natumia simu inashondwa kuattach document na kuiweka jamvini,kuna watu nimewatumia kwenye mail zao waliweke jamvini Kama vipi
Mwenye email anitumi,nimutumie aziweke jukwaani
Hadi niulize mkuu!!
Bank tellers utume certified copies pamoja na provisional results signed application letter n cv deadline ni tar 21 mwez huu
Bank tellers utume certified
copies pamoja na provisional results signed application letter n cv
deadline ni tar 21 mwez huu
Wadau naleta kwenu Uzi
Mwenye kujua ni chance zipi,vigezo na mwisho wa kutuma maombi ni lini!! Maana hawa jamaa nao washaanza ujinga!! Hawatangazi kwenye magazeti!!!!
Wanazitoa kimya kimya!!
Mail yako mkuu inazingua hebu cheki spelling vixur
Ipo sawa mkuu.basi tuma huku kama hiyo unasumbua asdosi@hotmail.com
Maisha ni kama kioo,ukicheka na yenyewe yanacheka
Mulioniomba wote nimewatumia kwenye mail zenu