Asu tz
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 336
- 86
Habar jf?
Nafasi ndio hizooo zimetoka kwa wale wanaotaka kujiunga na jesh la magereza. Vigezo ni vile vile kama umemaliza 4m 4 na ukapata div 4 haijalish ni 4 ya ngap? Unaweza ukaomba na ukapata.
Mhh kuna huyu jamaa hapa kaletewa gazet la MWANANCH na bro wake kaambiwa angalia jesh la magereza wametoa nafas za kujiunga. Kama vp changamkia nafas hyo dogo alimjibu bro wake jbu la kijinga et c bora nikae bila kaz kuliko kwenda huko'
Duh bro kachoka haelew afanye nn ili amsaidie mdogo wake?
Nafasi ndio hizooo zimetoka kwa wale wanaotaka kujiunga na jesh la magereza. Vigezo ni vile vile kama umemaliza 4m 4 na ukapata div 4 haijalish ni 4 ya ngap? Unaweza ukaomba na ukapata.
Mhh kuna huyu jamaa hapa kaletewa gazet la MWANANCH na bro wake kaambiwa angalia jesh la magereza wametoa nafas za kujiunga. Kama vp changamkia nafas hyo dogo alimjibu bro wake jbu la kijinga et c bora nikae bila kaz kuliko kwenda huko'
Duh bro kachoka haelew afanye nn ili amsaidie mdogo wake?