we jamaa kila thread una comment"good" na hiyo Avatar yako dah 😁😁😁
Kwa mkoa upi kaka?Kwa wanaolizia Nafasi zipo.
Kwa Mkoa Wa Iringa mnanafasi?Kwa wanaolizia Nafasi zipo.
Hivi inawezekana nikaomba kazi lakini nikaomba kituo nje ya nchi?Nimeweka update kwa wanahitaji nafasi Mwanza, intake inaanza tarehe 3 mpaka 10 January 2024
Nenda kaombe hiyo hiyo nchi unayotaka kufanya kazi, ila planning na kujiandaa ni muhimu, cha msingi fanya research ya vigezo vinavyohitajika kwa security officers kwenye nchi husika, Licence/passport/visa/work permit vyote ni muhimu.Hivi inawezekana nikaomba kazi lakini nikaomba kituo nje ya nchi?
Maslahi vp ka mkubwaNimeweka update kwa wanahitaji nafasi Mwanza, intake inaanza tarehe 3 mpaka 10 January 2024
Njoo pm nipo tayari kukupa accomodation na kuwa.mdhami lakini gharama hizo utalipia,kama uko tayari njoo pm.Niko kamanga ferry nawaona vijana wanapeleka barua.Broo nataka kumsendi mdogo wangu juma tatu aje vigezo vyote anavyo but naomba unieleweshe hapo je, anaweza kuja na barua ya wadhamini walioko nje ya mwanza au mpaka apate wadhamini wote kutoka hapo hapo mwanza? Maana yeye si mkazi Wa mwanza