Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,673
- 2,574
Leta tangazo bossUPDATE INTAKE MPYA 2020 INAENDELEA TAREHE 27-31 JAN 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta tangazo bossUPDATE INTAKE MPYA 2020 INAENDELEA TAREHE 27-31 JAN 2020
Huna shida ya kazi wewe?!!! Hao wanao hudhuria kila mala usahili wa dar, kwenye nafasi za kazi za serikalini, tena nafasi 15,wanakuja watu 300,huwa hawayaoni hayo?? Afadhari hata hii kuna uwezekano wa kupata ni mkubwa kuliko hizo nafasi za serikalini!?? Sass mambo yalivyo magumu graduate anatafuta hata kazi ya laki 2 haipati!!Kilimanjaro mpk mwanza nauli ni kama 50+ kwenda na kurudi ni kama 100+
guest ni kama 15 *4=60
chakula 5*4=20
ziada 50
jumla ni laki 2 na 30+
alafu ukalipwe kaki na nusu
Mkuu usaili ni mwanza tu Hakuna kituo Dar labdafungua post namba moja.
umeshindwa kwenda ata kuomba kufagia ofisi za chama??hizi kazi hizi... hakuna kazi za usafi
250kMshahara kias gani boss
Ahaaa,kumbe iko poa kiasi250k
Mwisho wa kuleta maombi ni lini intake hii, na mnahitaji watu wangapi sasaKwa faida ya wanaouliza PM nakupiga simu nafasi bado zipo.
April 2021.
Watakao faulu usahili, mkataba wa kazi ni wa muda gani???Kwa faida ya wanaouliza PM nakupiga simu nafasi bado zipo.
April 2021.
😁😁😁😁Ok sasa maskini anawezaje kufa maskini?
Na wadada tunaomba?View attachment 1329741
UPDATE: INTAKE MPYA APRIL 2021 INAENDELEA
Kampuni ya ulinzi ya GardaWorld Security. Yenye ofisi yake Capripoint mbele kidogo na Kamanga Fery Mwanza na ofisi kuu Mikocheni B Dar es Salaam, Inatangaza nafasi ya kazi Ya ulinzi.
VIGEZO
HATUA
- Elimu: Kidato cha nne na kuendelea.
- Uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza.
- Umri wa miaka 23 - 42
- Urefu futi 5.7 na kuendelea (kwa wanaume)
- Afya njema
- Asiwe na makosa yeoyote ya jinai
- Awe tayari Kazi Mkoa wowote wa Tanzania.
- Mwombaji Afike na barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa kwa mkono na mwombaji kwa kiingereza
- Nakala za vyeti na vyeti halisi, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo.
- Barua ya utambulisho kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
- Barua za wadhamini wawili (zipiigwe muhuri kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa juu ya picha na Wasiwe walinzi au wanafunzi).
- Mdhamini awe na kitambulisho halali.
- Mwombaji awe na picha 5 za pasipoti zilizopigwa hivi karibuni
- Mwombaji awe tayari kwa mahojiano na usaili.
Usaili utafanyika , Ofisini kwetu Capripoint Mwanza kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.
Epuka matapeli, Hakuna rushwa ni vigezo tu vinazingatiwa.
UPDATE:
INTAKE MPYA APRIL 2021 INAENDELEA
WAOMBAJI WENYE VIGEZO WANAKARIBISHWA
KUMBUKA, TARATIBU ZOTE NI BURE HIVYO EPUKA MATAPELI.View attachment 1193183
View attachment 1329745