Vp sasa kwa sasa kuna maombi yanaendelea mkuu? mwisho wa kuja kwenye usahili ni tarehe ngapi? Au kama vipo kama una tangazo tupiaKazi Zipo
Vaa viatu vyenye kisigino kirefu.Kigezo cha Urefu kimeniangusha
Hiyo mbinu imekusaidia kwa muda gani sasa?Vaa viatu vyenye kisigino kirefu.
Hamuhitaji daktari wa mbwa wenu!?Tafuta mtu anayeweza kuku Accommodate Mwanza kwa kipindi cha usahili na mafunzo endapo utafaulu usahili.
😂😂😂😂👏👏👏Ukipimwa utapimwa peku
Wewe unacheo gani kwenye kampuni ya mabeberu?Updates...
Intake mpya ni kuanzia tarehe 3 mwezi December mpaka tarehe 12 mwezi December, kwa wenye vigezo vya awali mnakaribishwa kwa usahili.
Hawa ndio mabeberu wenyewe hawaWewe unacheo gani kwenye kampuni ya mabeberu?