Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 221
- 139
Kila la kheri kwenu wenye sifa stahiki
Pambania mzee, tia nia kila jambo linawezekana ukimuomba Mungu pia.Huku wengi ndo Kimbilio letu, mungu atujarie kwakweli
Tafuta kazi nyingn ka mkubwa...Nina sifa zote tatizo JKT sikwenda
Huku kwingine nako nimetafuta sana sipati, kama vipi nitaenda jkt tuTafuta kazi nyingn ka mkubwa...
Majeshi huwez kupata labda uende jkt ukajitolee.
Naam unaomba vizuriHivi Cheti cha walopita mujibu wanaruhusiwa kuomba?
Process za kujitolea zipoje mkuu ichi cheti kimekua muhimu nowadaysTafuta kazi nyingn ka mkubwa...
Majeshi huwez kupata labda uende jkt ukajitolee.
Hutangazwa sifa stahiki pia kwa wanaoenda kwa kujitolea hivyo kama unavigoze basi utafuata taratibu zitakazotangazwa kwa wakati husika na ukifanikiwa utaenda kujitolea ili upate chetiProcess za kujitolea zipoje mkuu ichi cheti kimekua muhimu nowadays
Kutuma ,maombi ya issue gani ,chief ?Tar 5 Feb ndio mwisho wa kutuma maombi, jitahidini kwa wenye sifa, msiamini kwenye kuhonga wala mpaka uwe na mkubwa sijui, tuma maombi kisha omba Mungu wako alafu subiri, kuweni na imani kuwa inawezekana bila hata ya kua na connection.
Kujiunga na Jeshi la Magereza angalia juu kabisa ya uzi kuna attachment za tangazo husikaKutuma ,maombi ya issue gani ,chief ?