Martin Majula Malima
Member
- Nov 15, 2012
- 38
- 70
Habari wadau!
Natafuta msichana aliyehitimu kidato cha Sita mwaka 2013 na kupata daraja la I-III katika masoma ya Biolojia, Kemia na Fizikia (PCB) kwa ajiri ya ufadhiri wa masomo ya elimu ya juu.
Msichana huyu lazima awe anatoka Wilaya ya Ukerewe.
Tuwasiliane kwa namba hii. 0766764807
Natafuta msichana aliyehitimu kidato cha Sita mwaka 2013 na kupata daraja la I-III katika masoma ya Biolojia, Kemia na Fizikia (PCB) kwa ajiri ya ufadhiri wa masomo ya elimu ya juu.
Msichana huyu lazima awe anatoka Wilaya ya Ukerewe.
Tuwasiliane kwa namba hii. 0766764807