Nafasi ya mwisho kwa walimu wa tanzania....

..african politics!
Hakuna jipya

jipya lipo kama wananchi mkipenda,lakini roho za kukata tamaa na fikra mbovu za waafrika zimetufikisha hapa,unasema hamna jipya lkn ww mwenyewe hauko tayar kuleta jipya ndo maana unang'ang'ania misemo budu yenye kulibomoa kifikra bara la africa,jipange bado mda hupo.
 
mkuu hapo nadhani hukuelewa thread yenyewe, wakisema kipaumbele hawamaanish sector nyingne kama chakula wanakizi-ignore..
Mytake: ni kwamba ulikuwa umejiandaa kubisha. #tusitaftane@dhakawap.com

Na mie naonge kipaumbele hicho hicho.

Na wakisema

1.Education
2.Education
3.Education

Maana yake education imekuwa si kipaumbele tu, imekuwa ni kitu pekee.
 
unaposema elimu chakula ni zao la elimu kwa maana hiyo kuboresha elimu ni jinsi ya kuboresha yote yale yatakayo ipelekea elimu kusimama,siyo kusoma tu darasani,

Lakini si kwa 1.Elimu 2.Elimu 3.Elimu.

Na wewe unaweza kusema chakula ni zao la elimu, wengine wakakwambia elimu ni zao la chakula kwa maana ya kwamba mwenye njaa hafundishiki, lakini mjinga aliyelishwa anafundishika.
 
Mwalimu ndio kila ki2 kwa taifa lolote kwan humtoa m2 from being with nature minds to developed minds xaxa kama ndio mchezo wenyewe ndo huu akuwazingua cku watakuja tutengenezea mabox ya vchwa vya wa2 maana mnh, tusishangae cku tukimwuliza mtoto 3X3=? akikujibu 333, na a e i o u akakwambia o a e u i wallah,
 
kama ulivyosema mwenyewe, umeshindwa hata kabla hujaanza. Halafu unamlaumu mwalimu wangu.

Hujajibu maswali.

kabla sijakusaidia natakiwa kujua mambo yafuatayo:
1.elimu yako
2.imani yako
3.unakotoka
4.kabila
5.umri
6.umeoa/umeolewa
7.chama unachoshabikia
8.umeachika/mahusiano
9.kimo chako
10.ukuaji wa akili(cognitive development)
nikiyajua hayo yote nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kukusaidia
 
kabla sijakusaidia natakiwa kujua mambo yafuatayo:
1.elimu yako
Nimepita university mpaka multiversity, nimesoma mpaka wakafunga shule.
2.imani yako
Imani ya kutoamini
3.unakotoka
Swali halijakuwa na habari za kutosha kulipa jibu zaidi ya kusema "ninapokwenda", nimetoka kwa udongo, narudi kwa udongo
4.kabila
Kabila ndo nini?
5.umri
Wa kisaikolojia, kibaiolojia,kronolojia au upi?
6.umeoa/umeolewa
Elezea ndoa ni nini kwanza
7.chama unachoshabikia
Chama changu mwenyewe, cha mtu mmoja
8.umeachika/mahusiano
Mie mtawa kwa uchaguzi
9.kimo chako
Cha kumshinda Napoleon
10.ukuaji wa akili(cognitive development)
Wa muwamba ngoma

nikiyajua hayo yote nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kukusaidia

Of course huwezi.

Questionnaire kama STASI!!
 
Back
Top Bottom