CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Jana kwenye changia chadema.mh mbowe alitoa vipaumbele vitatu pindi chadema watakapoingia madarakani mwaka 2015.ipaumbele hivyo ni:
1.elimu
2.elimu
3.elimu
walimu wanachotakiwa kufanya kuanzia sasa ni kuhubiri waziwazi mabadiliko ya uongozi wakiwa madarasani na nnje ya madarasa.mwisho kabisa ni kuhakikisha wakati wa uchaguz wanaiangusha ccm kwa namna yoyote ile..
1.elimu
2.elimu
3.elimu
walimu wanachotakiwa kufanya kuanzia sasa ni kuhubiri waziwazi mabadiliko ya uongozi wakiwa madarasani na nnje ya madarasa.mwisho kabisa ni kuhakikisha wakati wa uchaguz wanaiangusha ccm kwa namna yoyote ile..