jimjamtz
Senior Member
- Mar 13, 2008
- 153
- 28
Tunashughulika na kazi za CARE AND TREATMENT(CTC) Iringa Mjini.Tunahitaji Mtaalamu wa Madawa ie Pharmaceutical Technitian mwenye uzoefu wa kazi ya utoaji dawa si chini ya miaka miwili.Nafasi hii inatakiwa ijazwe Haraka kabla ya Dec 2012.Mshahara ni Mzuri . Email: jacquiline2009@yahoo.com