nguzo1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 349
- 535
Terups Familly Wanayofuraha kutangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo
1) HOUSE MANAGER ( Nafasi 3)
SIFA ZA MWOMBAJI
-> Awe jinsia ya kike na awe Amesomea MAPISHI au.
Food&Beverage Production Au Hotel Management
na kuhitimu kwenye chuo kinachotambulika kwa.
ngazi ya Cheti au Diploma
-> Awe na Elimu ya Computer Basics
-> Awe na umri kati ya Miaka 18 hadi 21. Awe na urefu Usiopungia Sentimita 170 (5.5ft).
-> Asiwe mnene awe msafi kupitiliza na mwenye
kujipenda awe na afya njema (H.I.V negative)
-> Awe mwaminifu, mkweli mchangamfu na Mwenye hofu ya Mungu na asiwe na mtoto wa kumzaa
-> Awe mvumilivu na awe tayari kufanya kazi kwenye mazingira tofautitofauti na awe mwepesi kujifunza kitu kipya.
MAJUKUMU YA KAZI
-> Kuandaa chakula
-> Usafi wa ndani ya nyumba
-> Mengineyo (kwa kadri yatakavyojitokeza)
KITUO CHA KAZI
>>Kituo cha kazi ni Dar es Salaam ila awe tayari kwa mabadiliko endapo yatatokea
MALIPO / MSHAHARA
-> Malazi na chakula ni bure na kuhusu mshahara Ni Mazungumzo na pia itatengemea na Utendaji wa kazi
JINSI YA KUTUMA MAOMBI
>> Barua ya Maombi na Wasifu wako (CV) itumwe kwa njia ya E-mail nikota166@gmail.com
*Mwisho wa kutuma maombi Ni Tarehe 30/12/2020 *
1) HOUSE MANAGER ( Nafasi 3)
SIFA ZA MWOMBAJI
-> Awe jinsia ya kike na awe Amesomea MAPISHI au.
Food&Beverage Production Au Hotel Management
na kuhitimu kwenye chuo kinachotambulika kwa.
ngazi ya Cheti au Diploma
-> Awe na Elimu ya Computer Basics
-> Awe na umri kati ya Miaka 18 hadi 21. Awe na urefu Usiopungia Sentimita 170 (5.5ft).
-> Asiwe mnene awe msafi kupitiliza na mwenye
kujipenda awe na afya njema (H.I.V negative)
-> Awe mwaminifu, mkweli mchangamfu na Mwenye hofu ya Mungu na asiwe na mtoto wa kumzaa
-> Awe mvumilivu na awe tayari kufanya kazi kwenye mazingira tofautitofauti na awe mwepesi kujifunza kitu kipya.
MAJUKUMU YA KAZI
-> Kuandaa chakula
-> Usafi wa ndani ya nyumba
-> Mengineyo (kwa kadri yatakavyojitokeza)
KITUO CHA KAZI
>>Kituo cha kazi ni Dar es Salaam ila awe tayari kwa mabadiliko endapo yatatokea
MALIPO / MSHAHARA
-> Malazi na chakula ni bure na kuhusu mshahara Ni Mazungumzo na pia itatengemea na Utendaji wa kazi
JINSI YA KUTUMA MAOMBI
>> Barua ya Maombi na Wasifu wako (CV) itumwe kwa njia ya E-mail nikota166@gmail.com
*Mwisho wa kutuma maombi Ni Tarehe 30/12/2020 *