Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,379
Piga ua zaragaza nafasi aliyoacha wazi Gerson Msigwa wa msemaji mukuu wa Serikali ni ya ndugu yetu mpendwa na mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla.
Hakuna cha Kikeke ama Kitenge this time is for Pasco.
It's now or never. This time LAZIMA alambe teuzi na wote tufurahi.
Mungu amtangulie huyu ndugu yetu katika majukumu yake mapya yatakayoanza karibuni.
Hakuna cha Kikeke ama Kitenge this time is for Pasco.
It's now or never. This time LAZIMA alambe teuzi na wote tufurahi.
Mungu amtangulie huyu ndugu yetu katika majukumu yake mapya yatakayoanza karibuni.