Nafasi ya Gerson Paskali anaichukua.

Nafasi ya Gerson Paskali anaichukua.

Piga ua zaragaza nafasi aliyoacha wazi Gerson Msigwa wa msemaji mukuu wa Serikali ni ya ndugu yetu mpendwa na mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla.

Hakuna cha Kikeke ama Kitenge this time is for Pasco.

It's now or never. This time LAZIMA alambe teuzi na wote tufurahi.

Mungu amtangulie huyu ndugu yetu katika majukumu yake mapya yatakayoanza karibuni.
Msigwa kaenda wapi tena?
 
Piga ua zaragaza nafasi aliyoacha wazi Gerson Msigwa wa msemaji mukuu wa Serikali ni ya ndugu yetu mpendwa na mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla.

Hakuna cha Kikeke ama Kitenge this time is for Pasco.

It's now or never. This time LAZIMA alambe teuzi na wote tufurahi.

Mungu amtangulie huyu ndugu yetu katika majukumu yake mapya yatakayoanza karibuni.
Kitenge na Kikeke wakichukua nafasi hiyo itakuwa ni Aibu kubwa kwa Taifa.

Kubwaaa...
 
Piga ua zaragaza nafasi aliyoacha wazi Gerson Msigwa wa msemaji mukuu wa Serikali ni ya ndugu yetu mpendwa na mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla.

Hakuna cha Kikeke ama Kitenge this time is for Pasco.

It's now or never. This time LAZIMA alambe teuzi na wote tufurahi.

Mungu amtangulie huyu ndugu yetu katika majukumu yake mapya yatakayoanza karibuni.
Hadi Kitenge hiki kivaliwacho na mama zetu!
Tuna wasomi wajinga sana.
 
Piga ua zaragaza nafasi aliyoacha wazi Gerson Msigwa wa msemaji mukuu wa Serikali ni ya ndugu yetu mpendwa na mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla.

Hakuna cha Kikeke ama Kitenge this time is for Pasco.

It's now or never. This time LAZIMA alambe teuzi na wote tufurahi.

Mungu amtangulie huyu ndugu yetu katika majukumu yake mapya yatakayoanza karibuni.
Kwanini sala kama hii muhimu usiisali kimoyo moyo ambapo ingeweza kukuzalia matokeo chanya?

Kweli nami ninamuombea sana iwe hivyo, ila tatizo la watawala wetu wanaoshinda mitandaoni na kuyasoma haya wanaweza kuona kama tunawapangia(kwa mawazo ya kiAfrika)!

Lakini lazima wakae wasikilize kilio kilicho cha wengi kama walivyosikiliza mitandao na wakamtengua Maharage Tanesco, Makamba nishati na bado mmoja tusiyemtaka wanaendelea kushupaza shingo kama hawatusikii kumlinda kwa gharama yoyote!

Kwanza Paskali akisimama kwenye mimbari kutoa hoja, ukianza kumpima unaona kabisa huyu jamaa mtu na nidhamu zake anafaa sana na uandishi wake ni wa kipaji.

Lakini sasa kwa teuzi hizi za kufuata majina na ubini wa kiukoo, sala yako hii yawezakuwa ni dua la kuku lisiloweza kulaani na kuishinda tamaa ya mwewe!
 
Umri jamani ,si amesgafikia umri wa kustaafu au sio nafasi ya utumishi ni uteuzi?
 
Kwanini sala kama hii muhimu usiisali kimoyo moyo ambapo ingeweza kukuzalia matokeo chanya?

Kweli nami ninamuombea sana iwe hivyo, ila tatizo la watawala wetu wanaoshinda mitandaoni na kuyasoma haya wanaweza kuona kama tunawapangia(kwa mawazo ya kiAfrika)!
Lakini lazima wakae wasikilize kilio kilicho cha wengi kama walivyosikiliza mitandao na wakamtengua Maharage Tanesco, Makamba nishati na bado mmoja tusiyemtaka wanaendelea kushupaza shingo kama hawatusikii kumlinda kwa gharama yoyote!

Kwanza Paskali akisimama kwenye mimbari kutoa hoja, ukianza kumpima unaona kabisa huyu jamaa mtu na nidhamu zake anafaa sana na uandishi wake ni wa kipaji.

Lakini sasa kwa teuzi hizi za kufuata majina na ubini wa kiukoo, sala yako hii yawezakuwa ni dua la kuku lisiloweza kulaani na kuishinda tamaa ya mwewe!inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom