Lebanon ilikuwa nchi nzuri sana ilipoanza kuwa na huruma na kupokea wakimbizi wa kipalestina wa kiislamu shida zilianza hapo na zimeendelea mpaka sasa na ndicho kinachoanza kutokea UK na US na sehemu kubwa ya ulaya na infact muslim brotherhood wataichukua US, na Europe na wananchi hasa Christians wa nchi hizo watapitia dhiki kuu ambayo haijawahi kuwepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.