Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,122
- 165,398
hahaaa!! nilimuona bana! si yule anaeanza na EV? nilikuambia uoe! kumbe nae anakufukuzia!!!
hahaaa!!
Ni mimi ndo mnaniita mdudu eeeh?
bahati yenu jukwaa la kazi nami nipo kikazi
kwaheri
hahaaa!! nilimuona bana! si yule anaeanza na EV? nilikuambia uoe! kumbe nae anakufukuzia!!!
hahaaa!!
Naomba kuuliza, nilisikia kuomba kazi uhamiaji lazma uwe umepitia jets hi ni kweli?
Hapana Evelyn Salt, waliopitia jeshi hawatakiwi uhamiaji maana baada ya interview na vipimo vyote kupita wale watakaochaguliwa watapelekwda chuo cha jeshi la polisi Moshi ( CCP) kwa muda wa miezi 9 then wanapangiwa vituo vya kazi. We kaombe tu sweetheart.
mikazó;8701979 said:Vyeti vya darasa la saba vipo,vinapatikana shuleni ulipomaliza,nenda na passport size mbili,utapewa cheti chako,mbna mi nimekipata mwaka huu,niliamalza shule ya msing mwaka 2003
Ni mimi ndo mnaniita mdudu eeeh?
bahati yenu jukwaa la kazi nami nipo kikazi
kwaheri
jamani barua inaandikwa kwa lugha gani kiswahili au kingereza?
mkuu ina maana hujui official language katika ofisi za serikali ni ipi?
Ndio maana nikauliza mkuu ningejua nisinge uliza
poa mkuu.. lugha ni kiswahili, andaa na cheti chako cha la saba kabisa
hapana vyeti vipo ndgu,labda ungemuuliza huyo mwalimu mkuu,akupe utaratibu kwamba vinapatikana wapi?kma hapo shuleni havikufikadah mim nimemalza mwaka huo lakin nilikwenda nikaambiwa vyeti vya mwaka huo havikufika shuleni.. Je kuna sehemu nyngine vinaweza kupatikana zaid ya shuleni maana nshachoka kuenguliwa hata kabla ya application
Je depo ni lazima kwa vyeo vyote hivo?
Ndiyo ni lazima.
dah mim nimemalza mwaka huo lakin nilikwenda nikaambiwa vyeti vya mwaka huo havikufika shuleni.. Je kuna sehemu nyngine vinaweza kupatikana zaid ya shuleni maana nshachoka kuenguliwa hata kabla ya application
mkuu nina mdogo wangu kahitimu pale Bandari College kozi ya Shipping and Port Operations, kuna sehemu yoyote atafit kwenye hizo nafasi zilizotoka? kama ipo, naomba mnielezee ni nini kitafanyika kabla na baada kuajiriwa maana nimeona mnaongelea maswala ya depo. Na ni kazi ipi hasa atakayoifanya pindi akiajiriwa?