kamuakotekote
Senior Member
- Feb 12, 2014
- 163
- 17
Mungu akubariki Dkt Jakaya Kikwete kwa kumwaga Ajira hapa nchini.
Unajipendekeza kwa rais vp huyo tayari kabanwa mshukuru mleta Uzi.
Mungu akubariki Dkt Jakaya Kikwete kwa kumwaga Ajira hapa nchini.
Kubadilishana mawazo sina tatizo nako.
Wanaume kuwa haweshi kuwataja wanaume wenzao bila msingi kila mara (Valentine day nzima hii !!) kama vile wanataka kuramba koni sihusudu.
cc Nyani Ngabu
chet cha darasa la saba sina jamani nifanyeje
Hebu msaidie basi apate kazi
Bora nifate ushauri wa kuchuna buzi kuliko kubeba sembe
Kubadilishana mawazo sina tatizo nako.
Wanaume kuwa haweshi kuwataja wanaume wenzao bila msingi kila mara (Valentine day nzima hii !!) kama vile wanataka kuramba koni sihusudu.
cc Nyani Ngabu
Nafasi zomejaa.
nafasi zomejaa?
Kwishinia.
mkuu nashindwa hata kukupa like.
ha ha ha haaaaaaaa
watu wamechoka na maisha uwiiiiiiiiiiiiiih
mkuu nashindwa hata kukupa like.
these children think that this is fb!
watu tuna mastress yetu humu bana!
pole mkuu
twende kule nakuwekeapo kakitu kakukufariji
Nipe mji.
haya chukua mji.
unataka threesome?
Hiyo kali sana.
Nilikuwa nimesahau leo kuwa ndiyo ile siku ya valentine
Kumbe ukekunywa konyagi ukafhanganya na yellow hahahaha teh.