bologna
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 1,489
- 1,426
Mjomba JKT panapo mwez wa 5 mwaka huu walitangaza nafasi kimyakimya wilayani. Lkini tangazo lilikuwepo ofisi za mkuu wa wilaya na sio serikari za mitaa au Kata kama zamani. So jeshini(JWTZ) hatuwezi kufanya hivyo kiongozi. Hivyo ni kudharirisha jeshi kiongozi