Nafasi itakuwepo

kanewi

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
298
200
Nahitaji kuuliza, mwaka jana 2015 nilifanya application ya kujiunga na masomo Tanzania Institute of Accountancy kwa Postgraduate Deploma in Procurement and Logistics Management kwa masomo ya jioni, nilikamilisha legislation mpaka kupata legislation no. Ila ilibaki kufanya malipo ya ada tu,, nikapata safari ya ghafla ya matatizo ya kifamilia nje ya mkoa kwa miezi 6, je ninaweza kuresume nafasi yangu ila ya mwaka jana kwa kuanza fresh mwaka huu au ndo itanibidi nianze upya usajiri kama wakati naanza,, hii ni kipindi cha usajiri utakapo anza
 
Hapo ni kuanza upya, unless ungeripoti mapema kabla ya masomo kuanza ili uahirishe.
 
Nahitaji kuuliza, mwaka jana 2015 nilifanya application ya kujiunga na masomo Tanzania Institute of Accountancy kwa Postgraduate Deploma in Procurement and Logistics Management kwa masomo ya jioni, nilikamilisha legislation mpaka kupata legislation no. Ila ilibaki kufanya malipo ya ada tu,, nikapata safari ya ghafla ya matatizo ya kifamilia nje ya mkoa kwa miezi 6, je ninaweza kuresume nafasi yangu ila ya mwaka jana kwa kuanza fresh mwaka huu au ndo itanibidi nianze upya usajiri kama wakati naanza,, hii ni kipindi cha usajiri utakapo anza
Ww ni bwege kweli hujui tofauti ya legislation na registration kilaza mkubwa alafu unajiita msomi ningekuwa karibu ningekupiga ngumi ya kichwa mwehu ww
 
Ww ni bwege kweli hujui tofauti ya legislation na registration kilaza mkubwa alafu unajiita msomi ningekuwa karibu ningekupiga ngumi ya kichwa mwehu ww
Huyu jamaa kama ni ana bachelor basi elimu yetu ni majanga
 
Ww ni bwege kweli hujui tofauti ya legislation na registration kilaza mkubwa alafu unajiita msomi ningekuwa karibu ningekupiga ngumi ya kichwa mwehu ww
Msamehe bure kisha msaidie, elimu yetu wenyewe tunaijua
 
Back
Top Bottom