Nafanyaje Kumkomoa Mrembo Huyu

Nafanyaje Kumkomoa Mrembo Huyu

mmh! Yale yale:
1. Unamkimbiza mtu halafu unatamba eti "nimemkimbiza vibaya sana" na hali na wewe ulikimbia
2. Kungwi anamfunda mwali usiku kucha bila kulala "eti leo nimekomesha mwali hatukulala" na hali na yeye alikesha
Una akili nyingi sana. Mkumbushe pia hayo anayotaka kufanya kuna wengine humu pisa watasoma na kuwafanyia dada na wanawe wa kike. Labda kama hao dada zake wanaishi angani.
Wanasema
"What goes around comes back around"
Malipo ni hapa hapa tu. Atamkomesha dada wa watu, wakati anarudi nyumbani anakuta dada yake kakomeshwa tena zaidi na muhuni mwingine
 
Kula Kwa starehe. Ile sio mashindano. Amekupa shukuru nfanye vizuri ili aendelee kukupa K .
 
Anajiita "masulupwete"
Huku kwetu Mkuranga sulupwete maana yake lile linanihii lisilotahiriwa(kono la sweta)

So tafsiri yangu juu yako ni kuwa wewe "great sulupwete" kwa katika mikono ya sweta wewe ndio naba yao.
Kwa mantiki hiyo huwezi timiza ndoto zake za kumkomoa ilhali wewe ni "lisweta" la hatari
 
Anajiita "masulupwete"
Huku kwetu Mkuranga sulupwete maana yake lile linanihii lisilotahiriwa (kono la sweta)

So tafsiri yangu juu yako ni kuwa wewe ni "great sulupwete" kwa maana kwamba katika mikono ya sweta wewe ndio ni baba yao.
Kwa mantiki hiyo huwezi timiza ndoto zake za kumkomoa huyo dada ilhali wewe ni "lisweta" balaaa
 
Uvulana kazi sana.

Ongea na kaka zako humu wakufundishe how to treat a lady.

Hapo ukute umemfukuzia mda sana na instead ya kujipongeza mwenyewe kwa kukubaliwa, na kumfurahisha yeye kwa kukukubalia unawaza kumkomoa.

Boya we.
 
muulize GuDume akupe namba ya yule mmasai aliempa dawa. ila demu asipokuja uwanjani you are a dead meat
 
Una akili nyingi sana. Mkumbushe pia hayo anayotaka kufanya kuna wengine humu pisa watasoma na kuwafanyia dada na wanawe wa kike. Labda kama hao dada zake wanaishi angani.
Wanasema
"What goes around comes back around"
Malipo ni hapa hapa tu. Atamkomesha dada wa watu, wakati anarudi nyumbani anakuta dada yake kakomeshwa tena zaidi na muhuni mwingine
acha porojo nyingi mkuu lete maujanja
 
ndo nyie mnakufaga juu ya vifua vya wenzenu
jipatilize
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom