Ukitaka mikono isichubuke unapoweka sabuni kwenye maji subiri kidogo mkuu hata kwa dakika 20-30 Kisha ndo uanze kufua acha kidogo sabuni ikae kwenye maji
Ukitaka mikono isichubuke unapoweka sabuni kwenye maji subiri kidogo mkuu hata kwa dakika 20-30 Kisha ndo uanze kufua acha kidogo sabuni ikae kwenye maji
Usitumie maji ya chumvi kufulia na sabuni ya unga, mchanganyiko wake haupatani na ngozi yako. Hata mimi inanitokea hiyo nikitumia ya chumvi na omo kufulia.