Naenda Arusha kwa nabii GeorDavie

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.
spea zipi mpya au used?Body spare parts? Hivi hii biashara inahitaji milioni ngapi kuanza duka la kawaida lenye vitu basics
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.
Zawadi ya yule jamaa zina vitu vya hajabu sana. Usije kushangaa unakwenda kanisani kwake na ukaokota hela, ile unatoka tu nje ya kanisa ukaanza kuusaula hadharani, unavua nguo na kutaka kufilwa au kunyonya pipi kijiti ya mwanamme mwenzako. Ukitaka ushuhuda muulize Goodluck Gozbert alipatwa na nini baada ya kupokea gari, walio karibu naye wanasema jamaa alikuwa anapatwa na mambo ya kishenzi mno kila akipanda lile gari mara ajisikie mkundu unamuwasha na kuota ndoto akiwa kavaa nguo za kike akitembea Mitaa ya Sinza usiku peke yake. Vya bure hivi vina mambo yake.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.
Utaenda ukaingiziwe!
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.
GeorDavie sio fala. Zile hela anazotoa ni mtego kwa wenye tamaa kama wewe. Kumwona GeorDavie mwaka 2012 ilikuwa kama Tsh 300k.. kwa sasa itakuwa zaidi ya hiyo. Akikusanya hata 500k kwa mabwege 20 tu anarudisha hela zake.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.
Duka la spea kisha unakaa ukingoja wanunuzi! Omba gari ukirudi unakatisha mitaa bila kushika magirisi.
 
Baada ya madini kinachofuata ni Spea za magari Tanzania iwe used au mpya fatilia hili utakuja kuniambia naona umeandika bila kufanya tafiti..
Sawa, ila ujue Diddy anashikiliwa mahabusu, utakuja juta, mwenzako alichoma moto gari baada ya kuzinduka na kujiuliza kwanini alikubali.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.


Ukitoka huko pitia Mirembe Hosp Dodoma upimwe na uchukue na dawa zako kabisa, hopeless human being
 
Sawa, ila ujue Diddy anashikiliwa mahabusu, utakuja juta, mwenzako alichoma moto gari baada ya kuzinduka na kujiuliza kwanini alikubali.
Umejibu kitu tofauti mimi nipo na Spea SA ndio maana nakwambia hayo ni madini yanayotembea sisi wengine shule na kubeb
20250203_110506.jpg
a boxi ndio tulipata mitaji ya kuuza magari na spea Tanzania.
20250206_121514.jpg
20250206_120115.jpg
20250131_182450.jpg
20250127_125206.jpg
20250131_182450.jpg
 

Attachments

  • 20250203_110506.jpg
    20250203_110506.jpg
    621.1 KB · Views: 4
chora tatoo yenye sura yake hapo usoni upate vaypu la kuingia, hivi hivi utalia mpaka ufe ila hautamuona
Wanaomuona wote wana tatoo kwenye nyuso zao?
Mi nadhani akiigiza ulokole wa kindaki ndaki na kwenda kanisani kwake atamuona tuu.
Au kuna mirorongogani zaidi ya kwenda kusali?
 
spea zipi mpya au used?Body spare parts? Hivi hii biashara inahitaji milioni ngapi kuanza duka la kawaida lenye vitu basics
Andaa kama Bilion moja hiv kwa kuanzia Ndio utapata hilo duka la kawaida,ukitaka kubwa uwe na mtaji mnono.
 
Kabla ya kwenda jiulize yafuatayo;
1.Je waumini wake wote ni wanajiweza? matajiri? hawana shida ndogo ndogo za milion mbili tatu?
2.Kama ni choka mbaya, mbona hawanyenyui wa hapo hapo"charity begins at home" kwa nini hasaidiee wa hapo hapo kwake?

Ukifika, muulize hivi kujichubua ni utakatifu, ni agizo au ndio sifa ya kuwa nabii mkuu?
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema wiki hii nitaenda Arusha kwa nabii mkuu Dr. Geo Davie na mimi nikakusanye maokoto ya mpunga au gari nitalia mpaka anionee huruma. Nataka kufungua duka la spea za magari hivyo nahitaji mtaji.
Unadhani wanaoitwa hauwajafanya naye mawasiliano na kutengeneza Dili kutoka mapema?
 
Back
Top Bottom