Naelekea kunasa naombeni ushauri

Kama upo dar au miji mikubwa kuwa makini na yafuatayo...
Kutapeliwa
Kupewa ugonjwa
Kutumika kama cover/ bridge
Kupimwa uamunifu
Kupata mke.
 
Dunia ya leo hata wanawake hawausemei moyo! Wanashambulia.

Jiridhushe tu halafu endelea kama mtu aliyeiona target
 
Yeye anasema amekujuaje na namba yako ameipataje mbona na wewe umejirahisisha hivyo.... Unajifanya umebobea kufanya uchunguzu wa intelligence kumbe bure kabisa key questions kama hayo huku hoji the power of k ni noumer........

 
Back
Top Bottom