Haahaaaa. Thanks..Usiseme hivyo buana kwani utakuwa unanikatisha tamaa ya kusubiri kwa sababu mimi nasubiri daily unitongoze na ninaamini one day itakuwa yes!!....
Haahaaaa. Thanks..Usiseme hivyo buana kwani utakuwa unanikatisha tamaa ya kusubiri kwa sababu mimi nasubiri daily unitongoze na ninaamini one day itakuwa yes!!....
ni mapenz tu yakikufka shingon utasemaHivi ni uhaba WA men or ? Hadi some women wanafikia kutongoza men.. Sijafikia huko bado.. But mbona men wako wengi tuu .. Lord help us , please.. Thanks..
Haya.. Thanks..ni mapenz tu yakikufka shingon utasema
Na mimi nataka kuitwa hiyo 'my love'!........Nipo my love.. Habari ya uzima.. Vipi uko okay ? Thanks..
Hahahaahhaa.. okay my love .. Haki una vituko weye .. Thanks..Na mimi nataka hiyo kuitwa 'my love'!........
Yeye anasema amekujuaje na namba yako ameipataje mbona na wewe umejirahisisha hivyo.... Unajifanya umebobea kufanya uchunguzu wa intelligence kumbe bure kabisa key questions kama hayo huku hoji the power of k ni noumer........
Ha ha ha...Sasa kama kadogo halafu kanakupigia wewe mtu mzima uende
na unaenda....kwa nini kasipate ujasiri?
halafu ilikuwaje?ulitafuna meno huku kanakupa live kana kutaka?
Asiende mara ngapi wakati wameshaonana na kuambiwa alichoambiwa?Usiende
ahahaahaa>>>alitafuna meno huyoSasa kama kadogo halafu kanakupigia wewe mtu mzima uende
na unaenda....kwa nini kasipate ujasiri?
halafu ilikuwaje?ulitafuna meno huku kanakupa live kana kutaka?
Usiende