Naelekea kunasa naombeni ushauri

IT PROFESSIONAL

JF-Expert Member
Mar 17, 2016
228
95
Wakuu,Wahenga walisema,"ukistaajabu ya Musa ,Utayaona ya firauni",

Takribani wiki imepita sasa nilipata meseji kwenye simu yangu kutoka kwa mtu nisiyemfahamu,' I love you so much'.

Sikujibu chochote siku ya pili nikapata ujumbe mwingine unaosema nimekumiss kwenye namba ileile, mh hapo nikaaza kushangaa kulikoni mtu nisiyemfahamu anitumie SMS kama zile?

Basi nikaaza kufanya kazi yangu ya intelijensia kujua ni nani huyu na ana nia gani kwa meseji zile.

Baadae nikaamua kupanda hewani ,alipokea Binti mmoja aliyejitambulisha na kutaka appointment na Mimi Siku iliyofuata.
Basi nilikubali na tuliweza kuonana siku iliyofuata.Baada ya kumsikiliza alieleza kwamba ananitaka .

Wakuu naombeni ushauri wenu kwa sababu najaribu kujiuliza kibinti kidogo kama hiki kimepata wapi ujasili wa kuyaeleza haya aliyonieleza?
 
Duuuu itakuwa kweli ana upendo na mapenzi ya kweli kwako ila uckurupuke na ukaenda haraka sana!!!
 
Hivi ni uhaba WA men or ? Hadi some women wanafikia kutongoza men.. Sijafikia huko bado.. But mbona men wako wengi tuu .. Lord help us , please.. Thanks..
 
But love is sweet my honey!!!
Haaahaaa... Okay..but not like this.. Kutakiwa ( na men ) kuna raha yake.. So nafikiri huyu brother baadae akija kupata aampendae zaidi ninaamini atammtongoza .. Sasa huyu bi dada ataachwaa .. Angesubiri tuu atongozwe, maana kuna Raha yake... Huyu kaka awe very careful because this is abdnormal ... Asije kuishia pabaya because of huyu bi Dada... Thanks..
 
kama humfahamu je alipataje no yako, dunia ya sasa si njema sana, epuka kuingia mahusiano na strangers, achana nae huyo atakulia pesa zako, tumia hela zako vzr kwa maendeleo sio kwa vibinti vyenje njaa
 
kama ni kadogo au kakubwa achana nacho..vinatumwaga hvyo..na utarialize siku utakapovamiwa na watu watakaodai ni wazazi na kukupa kipondo au kukudai muyamalize kwa kuwapa ela.
 
Yeye anasema amekujuaje na namba yako ameipataje mbona na wewe umejirahisisha hivyo.... Unajifanya umebobea kufanya uchunguzu wa intelligence kumbe bure kabisa key questions kama hayo huku hoji the power of k ni noumer........
 
Hivi ni uhaba WA men or ? Hadi some women wanafikia kutongoza men.. Sijafikia huko bado.. But mbona men wako wengi tuu .. Lord help us , please.. Thanks..
Usiseme hivyo buana kwani utakuwa unanikatisha tamaa ya kusubiri kwa sababu mimi nasubiri daily unitongoze na ninaamini one day itakuwa yes!!....
 
Back
Top Bottom