yani ndio tunaanza mitihani ya kwetu ya mwisho wa kumaliza kidato cha sita. Kuanzia tarehe 8 febr. Mpaka tarehe 14 febr ndo nitamaliza nitarudi jamvini sintakuwepo rasmi. Waliopo chuoni naombeni mniandalie makazi humo ndani.
You can send your wishes here.
Kazi njema na MUNGU AWABARIKI.