Nadunduliza nichukue Range Rover mwaka wangu huu

Braza maisha siyo mashindano, siku zote angalia uliowaacha nyuma na siyo mbele.

Hata ukinunua hiyo Range Rover bado huta ridhika maana Kuna watu Wana Gari za million 800. Hapa hapa bongo bado utajihisi mnyonge.

Unyonge upo mawazoni mwako na siyo watu wanakuzunguka.
 
Mkuu range haitaki hela ya kudunduliza kuwa makini sana...jitahidi matatizo madogo madogo hasa ya umeme urekebishe mwenyewe
 
Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.

Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.

Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker.

Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.

Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.

Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Siyo kila mmoja anajihisi kama wewe. Kwani, maisha si matoi au magari ya bei mbaya.Sie wengine ulevi wetu ni mijengo ya bei mbaya na akiba nono ya uzeeni.
 
Cruise auto spare ni wauzaji wa spear party za magari
Jeep,
BMW,
Audi,
Land rover,
Porsche,
Volkswagen,
Chrysler,
Range/Land rover

Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz restaurant,Arusha

Kwa mawasiliano piga +255743805465,+255786050747
Email:cruisespares@gmail.com
Fb&IG:cruiseautospareparts

Pia usisite kuwasiliana nasi pia tunatoa ushauri.
 
Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.

Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.

Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker.

Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.

Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.

Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Hongera sana chief!
Mie nafikiria kufungua duka la spear za range rover ili tufanye biashara
 
Braza maisha siyo mashindano, siku zote angalia uliowaacha nyuma na siyo mbele.

Hata ukinunua hiyo Range Rover bado huta ridhika maana Kuna watu Wana Gari za million 800. Hapa hapa bongo bado utajihisi mnyonge.

Unyonge upo mawazoni mwako na siyo watu wanakuzunguka.
Muache anunue bana.....
ushauri gani mbovu huu unampa!!???
 
Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.

Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.

Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker.

Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.

Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.

Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.
Nakuunga mkono uchukue hiko chuma. Kimetulia sana.

Ila mambo mengine nafikiri tutaendelea kukumbushana kadiri muda unavyokwenda.


Screenshot_20210727-122454_Chrome.jpg


Hilo ndinga halihitaji uwe na pesa za mawazo, suspension ikizingu si chini ya milioni 5 lazima ikutoke
 
Sababu ya kuwepo duniani ukiichunguza inashangaza. Wakati mwingine nahisi kama tunakimbizana na sababu tofauti na sababu ya sisi kuwepo duniani.

Wakati nipo mtoto TV na game ilikiwa big deal, TV ikaletwa nikaizoea, Nikaanza kuona TV bila deki ts nothing, Deki ikaletwa nikatumiaa weee nikazoea nikaona kawaida wala sina time nayo, simu zikaingia nikakimbizana nazo kweli nikiwa na hii nakaa kidogo nataka ile nikazoea na hapo nikawa utu uzima umeshagonga hodi. Nikatekwa na magari, nunua hili uza nunua lile uza nunua hili .... Mwisho hujali tena una gari gani zaidi ya kutaka uwe na dereva. Nina ndugu yangu aliyenitangulia yeye anakimbizana na nyumba tu. Jenga hii, Jenga ile bomoa hii weka fensi sijui kisima . Mwisho tunakufa halafu wengine nao wanaendeleza mbio za kukimbizana na uchumi na vitu.
Hekima nyingi na busara za kutosha nimezipata kwenye hii comment yako.
Kikubwa tunavyo vitamani hapa duniani havitupi furaha ya kudumu bali tunakimbizana na wakati tu.
 
Zamani nilipokua naona watu wakimiliki magari na mimi nilikua na pikipiki nilijiona dhalili sana na mnyonge.

Nilikua naona wenye magari kama watu waliopendelewa sana, na wenye pesa, lakini gari zenyewe sikuhizi hata milioni tatu au nne au tano unapata Suzuki au vitz old model used.

Baada ya kuwa na gari Vitz new model najihisi kudhalilika sana pale napopishana na V8, Range rover sport na gari nyingine za kishua yaani unajihisi mnyonge na kale kamsemo kwamba jamaangu unaendesha vigari vya kike mara mwanangu unaendesha kibaby walker.

Huu mwaka hautaisha bila kuchukua range mpya.

Je, wewe umeazimia kuwa na aina gani ya gari mwaka huu au kwa future.

Note: Hapa sio mawazo ya kuwaza magari ya ndotoni hapa nazungumzia wenye magari au pesa washaanza kuweka na wana uhakika wa kuwa na gari husika.

Mkuu hongera kwa kuthubutu, ila binafsi nahuzunishwa na baadhi ya watu kuhisi kudhalilika sababu yeye anamiliki ndai labda ya bei rahisi na kumuona mwenzake either kitaa au kazini ana ndai nzuri.

Kitu nnachofahamu mimi kila mtu hununua usafiri kulingana na majukumu & kazi au ishu zake ( japo kuna baadhi hununua za gharama kwa ajili ya show off ) so binafsi sionagi jau kabisa yaan. I wish kama watu wakaelewa hili vizuri
 
Back
Top Bottom