Nadharia mbili alizozi "prove wrong" Samia

Nadharia mbili alizozi "prove wrong" Samia

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,743
Reaction score
6,236
1. Uongozi wa nchi wa waislam huwa na utulivu na upole, kabla ya Samia, tuliaminishwa kua akikaa kiongozi muislam nchi inakua tulivu na upole. Kumbe ni uongo bwana.

2. Tanzania ni kisiwa cha amani. Kwakweli the island of peace has Submaged, and dwellers are fighting for thier lives. Sasa Tanzania inajulikana kwa torture and brutality.

Thank you "mama". Na mimi ninafamilia wadau msinitafute.
 
1. Uongozi wa nchi wa waislam huwa na utulivu na upole, kabla ya Samia, tuliaminishwa kua akikaa kiongozi muislam nchi inakua tulivu na upole. Kumbe ni uongo bwana.

2. Tanzania ni kisiwa cha amani. Kwakweli the island of peace has Submaged, and dwellers are fighting for thier lives. Sasa Tanzania inajulikana kwa torture and brutality.

Thank you "mama". Na mimi ninafamilia wadau msinitafute.
Huyo anasumbuliwa na upemba, mbona haui wapemba anaua wabara zaidi
 
Nchi zingine wanaachwa.

Nafikiri Tanzania tumeingia kwenye rekodi.

Nchi ambayo ukisema hadharani kwamba unapinga utekaji unaweza ukakamatwa na polisi, kama una taasisi fulani inafutiwa usajili.
Nchi zingine siyo tanzania,kamwambie babaako hana akili bali matope
 
Back
Top Bottom