Propaganda na korosho labdaAmetatua nini tangible?
Mimi sijui kuhusu killing maana ushahidi sina nikiambiwa niseme nani amewaua au wapoteza. Ila ninchofahamu tulikuwa maskini tangu tupate Uhuru miaka 50 iliyopita, kama hao wanaopotea ni sehemu ya mkakati wa kupambana na ukoloni mamboleo ili kuondokana na umaskini mbaya it is fine, wazungu wameua watu wangapi wakati wanajenga uchumi wao?Rubbish, as long as it involves killing people, i.e loss of lives e.g MKIRU, Coco bech, Ben Saanane,killing our beloved ones, eti ni kuleta maendeleo, whaterver "good" he might be doing, if at are there, goes to the trush, down by the trench!
Leta ushahidi kuwa wazungu wameua? Hapa ushahidi utaujua mkitoka madarakani! wazungu hawapo, leta ushahidi.una uhuru wa kufanya inquries, .... unachelewa nini?Mimi sijui kuhusu killing maana ushahidi sina nikiambiwa niseme nani amewaua au wapoteza. Ila ninchofahamu tulikuwa maskini tangu tupate Uhuru miaka 50 iliyopita, kama hao wanaopotea ni sehemu ya mkakati wa kupambana na ukoloni mamboleo ili kuondokana na umaskini mbaya it is fine, wazungu wameua watu wangapi wakati wanajenga uchumi wao?
Hujui kwa sababu ya low thinking capacity! Basi!Mimi sijui kuhusu killing maana ushahidi sina nikiambiwa niseme nani amewaua au wapoteza. Ila ninchofahamu tulikuwa maskini tangu tupate Uhuru miaka 50 iliyopita, kama hao wanaopotea ni sehemu ya mkakati wa kupambana na ukoloni mamboleo ili kuondokana na umaskini mbaya it is fine, wazungu wameua watu wangapi wakati wanajenga uchumi wao?
Hii hoja ya kusema kwamba Rais Magufuli "anatatua matatizo yaliyowashinda marais waliotangulia" ni upuuzi wa karne. kwa nini? Kwanza kumbuka kwamba "kila enzi na kitabu chake". Matatizo aliyokutana nayo Nyerere, ya kujenga taifa kutoka makabila aliyoyagawa mkoloni, kutengeneza dira ya taifa hilo, kuweka misingi ya utaifa, siyo anayokutana nayo leo Magufuli. Kwa kweli magufuli anabomoa misingi ya utaifa. inafikia hatua tunashuhudia mgogoro wa ajabu kabisa, mgogoro feki wa kutengenezwa kati ya CAG na Spika wa bunge.Tanzania ni nchi masikini sana, tangu tupate Uhuru hatujawahi kuwa na nafuu, hata Rais Magufuli ameikuta hivyohivyo ikiwa na hali mbaya. Sio siri, wote tunafahamu kuwa wakoloni hawakuondoka kipumbavu wakati wanaliachia bara la Africa ikiwemo Tanzania yetu. Tunafahamu kuwa wakoloni wanatumia njia mbali kuendelea kupata malighafi, masoko ya bidhaa zao, na nguvukazi. Tunafahamu kuwa wakoloni wanatumia mafariki zao ambao sisi tunawaamini sana kama vile viongozi maarufu, watu maarufu, mashirika ya hisani, mashirika na taasisi za kidini, viongozi wa vyama vya siasa, wanaharakati, WB, IMF, WTO na majasusi kufanikisha adhima zao hizo.
Rais Magufuli ameamua kujilipua na kutumia uncommon sense kutatua common problems zinalolikumba bara lote la Africa hasa kusini mwa jangwa la Sahara. Maana huwezi kutumia common sense kutatua common problems yaliyowashinda Marais wenzako waliokutangulia. Hata wazungu walitumia uncommon sense kufika pale walipofika, uncommon sense yao Ndiyo iliyowatuma watutawale, watufanye watumwa, watufanyishe kazi nyingi bila ujira, kuua Marais wetu waliopinga kunyonywa nk.
Tundu Lissu hakupaswa kupinga kila kitu cha Rais Magufuli kwakuwa vitu ambavyofanya kamavile kuondoa wafanyakazi na wanafunzi hewa, kukamata wakwepa kodi, wauza madawa ya kulevya, kuwaondoa viongozi wasiowajibaka, kujenga miundombinu ya kisasa kama barabara, madaraja na reli, elimu bure , kufufua shirika la ndege na reli, nk. hivi vyote vinaonekana hadharani Kwa watanzania na wasiokuwa watanzania.
Tundu Lissu anapaswa ku acknowledge mazuri na ku condemn mabaya, hapo kila mtu angemuelewa. Rais wetu kuna vitu anavifanya kinyume kabisa na matarajio ya wakoloni tusipomsaidia sio Tu atapandwa na hasira lakini tunaweza kuhatarisha uhai wake Kwa ajili yetu sote.
Hata wademocratics wana vitu wanamkosoa Trump lakini kuna vitu hawezi kumkosoa navyo kwakuwa ni kwamanufaa ya Yao wote
Mimi sijui kuhusu killing maana ushahidi sina nikiambiwa niseme nani amewaua au wapoteza. Ila ninchofahamu tulikuwa maskini tangu tupate Uhuru miaka 50 iliyopita, kama hao wanaopotea ni sehemu ya mkakati wa kupambana na ukoloni mamboleo ili kuondokana na umaskini mbaya it is fine, wazungu wameua watu wangapi wakati wanajenga uchumi wao?
Tatizo la uvccm ni kuwa hawajui kutofautisha kati ya "kupinga na kushauri(mawazo mbadala)" wamefundishwa kukubali kila jambo litakaloletwa na mwenyekiti waoWapi amesema anapinga kila kitu? Ulisikiliza vizuri interview yake?
Ndio maana siasa ni mchezo mbaya.Hii hoja ya kusema kwamba Rais Magufuli "anatatua matatizo yaliyowashinda marais waliotangulia" ni upuuzi wa karne. kwa nini? Kwanza kumbuka kwamba "kila enzi na kitabu chake". Matatizo aliyokutana nayo Nyerere, ya kujenga taifa kutoka makabila aliyoyagawa mkoloni, kutengeneza dira ya taifa hilo, kuweka misingi ya utaifa, siyo anayokutana nayo leo Magufuli. Kwa kweli magufuli anabomoa misingi ya utaifa. inafikia hatua tunashuhudia mgogoro wa ajabu kabisa, mgogoro feki wa kutengenezwa kati ya CAG na Spika wa bunge.
Rubbish, as long as it involves killing people, i.e loss of lives e.g MKIRU, Coco bech, Ben Saanane,killing our beloved ones, eti ni kuleta maendeleo, whaterver "good" he might be doing, if at are there, goes to the trush, down by the trench!
Watu maskini na wasio na elimu ukiwapa Uhuru mpana wa kutoa maoni hutiki mbali. Kama wachina ambao ni robo ya world's population kama watapewa Uhuru wa kutoa maoni China itasambaratika. Hata Marekani watu, wanasiasa, wanahabari kuna vitu ambayo wanaviacha hivyohivyo. Uingereza pamoja na elimu na Maendeleo Yao hakuna anayehoji uwepo wa ukoo mmoja Tu wa kifalme unaotumia Kodi zao kifahari milele na milele.Sasa uhuru wa maoni uko wapi, ikiwa tutafundishana jinsi ya kutia maoni na tuyatoeje.
Unayoyaona wewe mazuri, sio lazima kila mtu ayaone hivyo. Maoni na mitizamo yetu tofauti.