Nadhani tunahitaji vyuo vingi vya Ufundi stadi

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello Great Thinkers.

Leo nimefikiria kitu nikaona nikilete ili tujadiliane kwa mapana kwa ajili ya Ustawi wa Nchi yetu.

Nimeona tuwe na hivi Vyuo vya Ufundi Stadi vingi nchini Tanzania.

Viwe vinatoa courses kama Upishi,Ushonaji,Make up,Kupaka rangi Nyumba,Umeme,n.k

Vyuo hivi Ada yake iwe Free

Vyuo viwe kwa ajili ya watu ambao ni Tegemezi kwa sasa, labda circumstances zimewafanya wawe tegemezi.

Utegemezi unakuja kwa sababu tofauti, wazazi kukosa ada zamani ,(sababu mfumo wa kusoma ulikuwa ni wa malipo), kukatiza masomo labda kwa sababu ya mimba, utoro, n.k ni Mambo ambayo yamesababisha watu wasipate Elimu ipasavyo na baadae kupunguza chances zao za kupata kazi/kipato,(secured income),

Magroup yanayokuwa affected zaidi ni yale ya vijana/watoto wanaoishi kwenye Mazingira Magumu,Yatima, Adults walio miss Education Opportunities hapo awali...Na watu ambao wamepoteza ajira zao Rasmi.

Hii inaongeza Vulnerability.

Ili kula na ku survive Makundi haya yanakuwa exploited Financially (labda kazi kwa ujira mdogo),Sexually (harassment,Assault,Rape) etc.

Kupunguza hii Vulnerability,

Serikali ifikirie kutarget hawa watu/hili kundi specific

Kwa kuwapa skills ili wajitegemee.

Wakishakuwa wamejengewa capability na serikali kwa kupewa skills then wataingia rasmi kwenye Uzalishaji.

Uzalishaji ina a sense wanaweza Kujiajiri sasa ama Serikali inaweza kuwapa Ajira sababu tayari watu wana Skills.

Ningependa kuona baada ya kupewa skills na kupata Ajira watu hawa wanalipa kodi, ( I know it sucks yeah,kuona yote inaenda kwa Mafisadi,LOL).

Ila Kodi wanayolipa itumike mostly kwenye Kuendesha vyuo hivi na kidogo ndio iende kwenye Mambo Mengine.

I really think kama kweli Serikali bila Mafisadi inataka kuongeza Tax base na Kupunguza Mzigo kwa Serikali then moja ya vitu vinavyotakiwa Kufanywa ni pamoja na Kuwafanya watu wale Unemployable kuwa Employable. Na moja ya Magroup ambayo yako Unemployable ni haya niliyotaja kwenye hii topic.

Mnaonaje hili wazo?
 
Ndio maana Samia katika bajeti ya mwaka huu ametenga Billion 100 kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya ambazo hazina vyuo hivyo. Lengo lake ni kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya zote Tanzania.

Halafu kujenga vyuo vya ufundi kitaifa kwa ajili ya highly and rare skills, vikipokea wanafunzi kutoka kwenye hivyo vyuo vya chini. Lakini pia ujenzi wa chuo kikuu cha TEHAMA kitachichoe ubunifu unaotakiwa katika Dunia ya leo.

Walau wanawake mmekuwa "considerate" kwenye maendeleo ya kweli kea watanzania.
 
Wazo ni zuri tena zuri sana.

1. Fedha za kujenga, kuendesha hivyo Vyuo zitatoka wapi kabla ya kuanza kutegemea kodi za walisoma ili vianze kujiendesha vyenyewe?

2. Nafasi za Ajira na hata Fursa za Mikopo ya Kujiajiri hutolewa kwa Vigezo vyenye Ubaguzi sana hata Masuala ya Ufundi ni lazima uwe umesomea VETA au NIT pekee.

3. Ni Vigumu sana kuondoa Ufisadi katika Serikali kama ilivyo Ngumu kwa Mama kumuadhibu/ kumuajibisha Mtoto wake kwa Kosa la Kifamilia.

Tuendelee kuwaza kwa Sauti huku tukililia KATIBA MPYA.
 
Ndio maana Samia katika bajeti ya mwaka huu ametenga Billion 100 kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya ambazo hazina vyuo hivyo. Lengo lake ni kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya zote Tanzania. Halafu kujenga vyuo vya ufundi kitaifa kwa ajili ya highly and rare skills, vikipokea wanafunzi kutoka kwenye hivyo vyuo vya chini. Lakini pia ujenzi wa chuo kikuu cha TEHAMA kitachichoe ubunifu unaotakiwa katika Dunia ya leo.

Walau wanawake mmekuwa "considerate" kwenye maendeleo ya kweli kea watanzania.
UTEKELEZAJI???
 
Hello Great Thinkers...

Leo nimefikiria kitu nikaona nikilete ili tujadiliane kwa mapana kwa ajili ya Ustawi wa Nchi yetu...

Nimeona tuwe na hivi Vyuo vya Ufundi Stadi vingi nchini Tanzania...

Viwe vinatoa courses kama Upishi,Ushonaji,Make up,Kupaka rangi Nyumba,Umeme,n.k

Vyuo hivi Ada yake iwe Free

Vyuo viwe kwa ajili ya watu ambao ni Tegemezi kwa sasa, labda circumstances zimewafanya wawe tegemezi...

Utegemezi unakuja kwa sababu tofauti, wazazi kukosa ada zamani ,(sababu mfumo wa kusoma ulikuwa ni wa malipo), kukatiza masomo labda kwa sababu ya mimba, utoro, n.k ni Mambo ambayo yamesababisha watu wasipate Elimu ipasavyo na baadae kupunguza chances zao za kupata kazi/kipato,(secured income),

Magroup yanayokuwa affected zaidi ni yale ya vijana/watoto wanaoishi kwenye Mazingira Magumu,Yatima, Adults walio miss Education Opportunities hapo awali...Na watu ambao wamepoteza ajira zao Rasmi.

Hii inaongeza Vulnerability...

Ili kula na ku survive Makundi haya yanakuwa exploited Financially (labda kazi kwa ujira mdogo),Sexually (harassment,Assault,Rape) etc.

Kupunguza hii Vulnerability,

Serikali ifikirie kutarget hawa watu/hili kundi specific

Kwa kuwapa skills ili wajitegemee.

Wakishakuwa wamejengewa capability na serikali kwa kupewa skills then wataingia rasmi kwenye Uzalishaji.

Uzalishaji ina a sense wanaweza Kujiajiri sasa ama Serikali inaweza kuwapa Ajira sababu tayari watu wana Skills.

Ningependa kuona baada ya kupewa skills na kupata Ajira watu hawa wanalipa kodi, ( I know it sucks yeah,kuona yote inaenda kwa Mafisadi,LOL).

Ila Kodi wanayolipa itumike mostly kwenye Kuendesha vyuo hivi na kidogo ndio iende kwenye Mambo Mengine.

I really think kama kweli Serikali bila Mafisadi inataka kuongeza Tax base na Kupunguza Mzigo kwa Serikali then moja ya vitu vinavyotakiwa Kufanywa ni pamoja na Kuwafanya watu wale Unemployable kuwa Employable. Na moja ya Magroup ambayo yako Unemployable ni haya niliyotaja kwenye hii topic.

Mnaonaje hili wazo??????
Mawazo yako yanaonesha akili imeanza kuchoka na una stress Kali
 
Ndio maana Samia katika bajeti ya mwaka huu ametenga Billion 100 kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya ambazo hazina vyuo hivyo. Lengo lake ni kujenga vyuo vya ufundi katika Wilaya zote Tanzania. Halafu kujenga vyuo vya ufundi kitaifa kwa ajili ya highly and rare skills, vikipokea wanafunzi kutoka kwenye hivyo vyuo vya chini. Lakini pia ujenzi wa chuo kikuu cha TEHAMA kitachichoe ubunifu unaotakiwa katika Dunia ya leo.

Walau wanawake mmekuwa "considerate" kwenye maendeleo ya kweli kea watanzania.
UTEKELEZAJI???
Ukijaribu kuchunguza japo kidogo utabaini Samia ni mtekelezaji sana wa ahadi zake. Angalia ya Bodi ya mikopo, ahadi kwa watumishi, kodi za dhuluma, uanzishwaji wa mashamba makubwa nk.
 
Wazo ni zuri tena zuri sana.

1. Fedha za kujenga, kuendesha hivyo Vyuo zitatoka wapi kabla ya kuanza kutegemea kodi za walisoma ili vianze kujiendesha vyenyewe?

2. Nafasi za Ajira na hata Fursa za Mikopo ya Kujiajiri hutolewa kwa Vigezo vyenye Ubaguzi sana hata Masuala ya Ufundi ni lazima uwe umesomea VETA au NIT pekee.

3. Ni Vigumu sana kuondoa Ufisadi katika Serikali kama ilivyo Ngumu kwa Mama kumuadhibu/ kumuajibisha Mtoto wake kwa Kosa la Kifamilia.

1. Kutoka kwa Mafisadi,lol, Yaani serikali isiangalie future ya watanzania na jinsi ya kupunguza mzigo kwa serikali, iangalie hatuna pesa za kujenga hivi vyuo...??? unajua watu wasipozalisha Mzigo unarudi kwa Serikali???

2. Kama hizo ndio changamoto zinazojitokeza serikali ije na Plan ya kuzidhibiti hizo Changamoto, Maswala ya Ufundi vikiwepo vyuo vya kutosha sidhani kama kutakuwepo na Ulazima wa watu kutokea VETA, again Key ni kuhakikisha haya Makundi yanawezeshwa kwa kuweka Elimu iwe accessible bila vikwazo vyovyote.

3. Kuuondoa Ufisadi tunaweza basi tu hatujaamua watanzania, tumeridhika mno.
 
Hello Great Thinkers...

Leo nimefikiria kitu nikaona nikilete ili tujadiliane kwa mapana kwa ajili ya Ustawi wa Nchi yetu...

Nimeona tuwe na hivi Vyuo vya Ufundi Stadi vingi nchini Tanzania...

Viwe vinatoa courses kama Upishi,Ushonaji,Make up,Kupaka rangi Nyumba,Umeme,n.k

Vyuo hivi Ada yake iwe Free

Vyuo viwe kwa ajili ya watu ambao ni Tegemezi kwa sasa, labda circumstances zimewafanya wawe tegemezi...

Utegemezi unakuja kwa sababu tofauti, wazazi kukosa ada zamani ,(sababu mfumo wa kusoma ulikuwa ni wa malipo), kukatiza masomo labda kwa sababu ya mimba, utoro, n.k ni Mambo ambayo yamesababisha watu wasipate Elimu ipasavyo na baadae kupunguza chances zao za kupata kazi/kipato,(secured income),

Magroup yanayokuwa affected zaidi ni yale ya vijana/watoto wanaoishi kwenye Mazingira Magumu,Yatima, Adults walio miss Education Opportunities hapo awali...Na watu ambao wamepoteza ajira zao Rasmi.

Hii inaongeza Vulnerability...

Ili kula na ku survive Makundi haya yanakuwa exploited Financially (labda kazi kwa ujira mdogo),Sexually (harassment,Assault,Rape) etc.

Kupunguza hii Vulnerability,

Serikali ifikirie kutarget hawa watu/hili kundi specific

Kwa kuwapa skills ili wajitegemee.

Wakishakuwa wamejengewa capability na serikali kwa kupewa skills then wataingia rasmi kwenye Uzalishaji.

Uzalishaji ina a sense wanaweza Kujiajiri sasa ama Serikali inaweza kuwapa Ajira sababu tayari watu wana Skills.

Ningependa kuona baada ya kupewa skills na kupata Ajira watu hawa wanalipa kodi, ( I know it sucks yeah,kuona yote inaenda kwa Mafisadi,LOL).

Ila Kodi wanayolipa itumike mostly kwenye Kuendesha vyuo hivi na kidogo ndio iende kwenye Mambo Mengine.

I really think kama kweli Serikali bila Mafisadi inataka kuongeza Tax base na Kupunguza Mzigo kwa Serikali then moja ya vitu vinavyotakiwa Kufanywa ni pamoja na Kuwafanya watu wale Unemployable kuwa Employable. Na moja ya Magroup ambayo yako Unemployable ni haya niliyotaja kwenye hii topic.

Mnaonaje hili wazo??????
upo sawa kabisa.
Ila bure bure hapana inatakiwa achangie iliajue thamani ya elimu anayoipata. Maana kama anakihitaji atachukulia serious, ila hii oya oya hapana.
Mfano uliowazi saa hivi kuna NGO (kanda ya ziwa) naona zina-finance kwa ma-housegals na house boys kupata mafunzo katika vyuo vya kati FDC.
Ila chakushangaza wengi nawaona wanaenda ilimladi tu, kwa sababu fursa imejileta wanaona fresh tu kwani nini.
Hata mi mwenyewe nikipewa mbususu bure lazima ni shituke.
 
upo sawa kabisa.
Ila bure bure hapana inatakiwa achangie iliajue thamani ya elimu anayoipata. Maana kama anakihitaji atachukulia serious, ila hii oya oya hapana.
Mfano uliowazi saa hivi kuna NGO (kanda ya ziwa) naona zina-finance kwa ma-housegals na house boys kupata mafunzo katika vyuo vya kati FDC.
Ila chakushangaza wengi nawaona wanaenda ilimladi tu, kwa sababu fursa imejileta wanaona fresh tu kwani nini.
Hata mi mwenyewe nikipewa mbususu bure lazima ni shituke.

Sasa hela watatoa wapi Mkuu?lol

Umenichekesha hapo Mwisho
 
Mabadiliko ya mfumo wa uhitaji, nchi kuwa na vyuo vikuu vingi ni kuongeza idadi ya masikini nchini. Mtu unamaliza chuo then unapambana miaka 10 kusaka ajira rasmi hadi unapita umri wa vigezo vya umri wa kuajiriwa, ushapoteza pesa na mda, ajira zimegoma pesa ya mkopo hairudi sababu huna ajira. Huu ni upumbavu, elimu sahihi nchini ni mfumo alioacha mkoloni watu wasome hadi la nane kisha vyuo vya ufundi akimaliza chuo tayari ana ujuzi
 
Mkuu tusitafutane tafadhali, sijui nyie mnaochokoza watu humu kama sio nyie ndio mna mastress..asubuhi yote unamparamia mtu....msonyoooooooooooooo
Pole sana! Mwanadamu hawezi kuuona uso wake bila kusaidiwa na Kioo. Sie ni Vioo vyenu. Punguza stress au umri (Ukitoka muda wa kuacha kutumia) unasababisha stress, hiyo ni khali ya kawaida hasa kama hujaolewa
 
Mabadiliko ya mfumo wa uhitaji, nchi kuwa na vyuo vikuu vingi ni kuongeza idadi ya masikini nchini. Mtu unamaliza chuo then unapambana miaka 10 kusaka ajira rasmi hadi unapita umri wa vigezo vya umri wa kuajiriwa, ushapoteza pesa na mda, ajira zimegoma pesa ya mkopo hairudi sababu huna ajira. Huu ni upumbavu, elimu sahihi nchini ni mfumo alioacha mkoloni watu wasome hadi la nane kisha vyuo vya ufundi akimaliza chuo tayari ana ujuzi

Mnh Mkuu yaani watu wawe na skills na umaskini uongezeke, haiji kabisaa, na hapa namaanisha ni hilo kundi vulnerable na ambalo halina ajira ndio ambao wawe targeted, na sio wanafunzi walioko vyuoni kwa sasa,. soma hii topic tena kabla ya ku comment,
 
upo sawa kabisa.
Ila bure bure hapana inatakiwa achangie iliajue thamani ya elimu anayoipata. Maana kama anakihitaji atachukulia serious, ila hii oya oya hapana.
Mfano uliowazi saa hivi kuna NGO (kanda ya ziwa) naona zina-finance kwa ma-housegals na house boys kupata mafunzo katika vyuo vya kati FDC.
Ila chakushangaza wengi nawaona wanaenda ilimladi tu, kwa sababu fursa imejileta wanaona fresh tu kwani nini.
Hata mi mwenyewe nikipewa mbususu bure lazima ni shituke.
Hela inarudi kwenye uzalishaji si watazalisha si watalipa kodi pia watachochea ukuaji wa uchumi.
Elewa watz ni masikini sababu kuu hawana uwezo wa kutambua fursa zinazowanguka.
Kwann wageni wanasema TANZANIA Shamba la bibi we njoo na akili yako tu KILA kitu utapata ukifika jibu ni kwamba kwao fursa zimebana sababu wanayo maarifa.
Serikali iachane kabisa na mpango wa kurundika vyuo vikuu vingi havina tija,ijenge vyuo vya ufundi KILA kata na iwakopeshe elimu vijana wasome bure ujuzi wowote hata mtu akita kozi tatu kwa pamoja mfano ufundi ujenzi,useremara ufundi rangi yaani kozi ziendanazo asome kisha auntie mtaani atarejesha pesa kupitia kodi
 
huo ulikuwa mpango wa Magufuli, waziri mkuu Majaliwa alianzisha kitu kinaitwa kurasimisha vyeti ambapo zilikuwa zinatoka nafasi kwa vijana wenye ujuzi mbalimbali lakini hawakupitia shule wanapata nafasi ya kusoma VETA kwa muda wa miezi 6 na kupewa vyeti.
pia JPM alikuwa na mkakati wa kujenga VETA kila kata kwa ajili ya vijana wengi kupata elimu ya ufundi.
 
huo ulikuwa mpango wa Magufuli, waziri mkuu Majaliwa alianzisha kitu kinaitwa kurasimisha vyeti ambapo zilikuwa zinatoka nafasi kwa vijana wenye ujuzi mbalimbali lakini hawakupitia shule wanapata nafasi ya kusoma VETA kwa muda wa miezi 6 na kupewa vyeti.
pia JPM alikuwa na mkakati wa kujenga VETA kila kata kwa ajili ya vijana wengi kupata elimu ya ufundi.

Mkuu umetumia fonts ndogo sana, inaumiza macho badilisha au Moderator please badilisha. Thanks
 
Back
Top Bottom