toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi kuna mtu yu na mawazo kama yangu?
Tunahitaji nchi ya viwanda, kujiajiri na ubunifu na ujasiriamali
Nadhani somo la ujasiriamali na utengenezaji wa bidhaa vitu na mitambo ndio lingetiliwa mkazo toka chekechea hadi chuo kikuu
Somo la ujasiriamali, stadi za maisha, ubunifu kutengeneza bidhaa ndio ilipaswa liwe somo la kutiliwa mkazo.
Kwa namna hii vijana wengi wangekua zaidi ya Veta, tungekuwa na wataalam chungu mzima wabunifu tena waliojiajiri lakini kwangu historia sio kipaumbele maana yalopita yashapita tu hata ufanyeje hayatosaidia chochote
Tunahitaji kuwaza future ya nchi hii ndo maana tunatakiwa tufokasi kwenye masomo ya kimkakati yenye mahusiano na uchumi wa dunia hii uchumi wa viwanda na uzalishaji.
Tunahitaji nchi ya viwanda, kujiajiri na ubunifu na ujasiriamali
Nadhani somo la ujasiriamali na utengenezaji wa bidhaa vitu na mitambo ndio lingetiliwa mkazo toka chekechea hadi chuo kikuu
Somo la ujasiriamali, stadi za maisha, ubunifu kutengeneza bidhaa ndio ilipaswa liwe somo la kutiliwa mkazo.
Kwa namna hii vijana wengi wangekua zaidi ya Veta, tungekuwa na wataalam chungu mzima wabunifu tena waliojiajiri lakini kwangu historia sio kipaumbele maana yalopita yashapita tu hata ufanyeje hayatosaidia chochote
Tunahitaji kuwaza future ya nchi hii ndo maana tunatakiwa tufokasi kwenye masomo ya kimkakati yenye mahusiano na uchumi wa dunia hii uchumi wa viwanda na uzalishaji.