Mkuu hasara nyingine ya mbuzi kagoma au msaada kwenye tuta utaishia kuwa unanunua magodoro kila maraAhsante Mkuu.. Yaani Inafikia Kipindi Naogopa Hata Kumpa Mic Yangu Akafanyie Show na Hata Inapohitaji Nimfanyie Msaada wa Kuitafuta Chumvi huwa nafanya kwa Mashaka Sana
Nisaidien jinsi ya kupost kitu mm cjui
Ndiyo ufikaji wao, wengine wanamudu kujicontrol wengine hawawezi kama huyo wa kwako. Uwe unamvalisha cover ya meno ili asikujeruhi, ni ya material rubber hivi!!
Mapepo mahaba..nia yao ni kukukinaisha umwache huyo dada! Kuna case wengine wanazimia..wanajikojolea nk...ila yote hayo ni karaha za hayo mapepo asije pata mme..maana kwa hali hiyo hakuna atakaevumilia..kama unampenda..msaidie akaombewe...