01-01-2025
Member
- Jan 5, 2025
- 16
- 21
Hili suala limefikia hatua ya kunikosesha amani kabisa, hadi natamani kuhama mji kutokana na kushindwa kumlipa deni hili.
Mwanzo wa tatizo:
Nilianzisha biashara ndogo kwa kutumia mtaji niliokuwa nao. Baadaye, bwana mmoja alifika katika eneo langu la kazi na akapendekeza kwamba anayo kiasi cha pesa ambacho kwa wakati huo hakina matumizi. Aliniambia niitumie kwenye biashara, na akihitaji angenijulisha. Bila hiyana, nilikubali na nikapokea kiasi hicho cha pesa — *Tsh 150,000/=.
Baada ya mwezi mmoja, biashara yangu ilikuwa ikiendelea vizuri, nikafikiri si vibaya kumrudishia pesa yake ili niwe huru kiakili. Lakini alikataa, akaniambia niendelee kuitumia kwani yeye akichukua ataitumia vibaya. Sikutambua kuwa huo ndiyo ungekuwa mwanzo wa matatizo yangu.
Baada ya muda mfupi, biashara ilianza kuyumba hadi kufikia hatua ya kufungwa kabisa, na mtaji wote ukaisha. Kuanzia hapo, ndipo jamaa alipo anza kudai pesa yake kwa ukali.
Nimejaribu nme jitahidi kila njia kupata pesa hiyo lakini hadi sasa nimemshindwa, na hali inanitiq stress sana kwani ana piga simu kila dk na me moyo una niuma kwani ana dai ana tatizo pia ana itaji iyo pesa kwa haraka
Kiasi unqcho tumia kwa dk ni kiasi kinacho tafutwa kwa mwezi na hakipatikqni kwa mwenzako .
Naombeni ushauri na msaada iki bidi kwani akili yangu imefika mwisho kuhusu kwa nini nisi uze simu ,simu nayo tumia hata kwa tzsh elfu 20 mtu hawezi chukua .
Mwanzo wa tatizo:
Nilianzisha biashara ndogo kwa kutumia mtaji niliokuwa nao. Baadaye, bwana mmoja alifika katika eneo langu la kazi na akapendekeza kwamba anayo kiasi cha pesa ambacho kwa wakati huo hakina matumizi. Aliniambia niitumie kwenye biashara, na akihitaji angenijulisha. Bila hiyana, nilikubali na nikapokea kiasi hicho cha pesa — *Tsh 150,000/=.
Baada ya mwezi mmoja, biashara yangu ilikuwa ikiendelea vizuri, nikafikiri si vibaya kumrudishia pesa yake ili niwe huru kiakili. Lakini alikataa, akaniambia niendelee kuitumia kwani yeye akichukua ataitumia vibaya. Sikutambua kuwa huo ndiyo ungekuwa mwanzo wa matatizo yangu.
Baada ya muda mfupi, biashara ilianza kuyumba hadi kufikia hatua ya kufungwa kabisa, na mtaji wote ukaisha. Kuanzia hapo, ndipo jamaa alipo anza kudai pesa yake kwa ukali.
Nimejaribu nme jitahidi kila njia kupata pesa hiyo lakini hadi sasa nimemshindwa, na hali inanitiq stress sana kwani ana piga simu kila dk na me moyo una niuma kwani ana dai ana tatizo pia ana itaji iyo pesa kwa haraka
Kiasi unqcho tumia kwa dk ni kiasi kinacho tafutwa kwa mwezi na hakipatikqni kwa mwenzako .
Naombeni ushauri na msaada iki bidi kwani akili yangu imefika mwisho kuhusu kwa nini nisi uze simu ,simu nayo tumia hata kwa tzsh elfu 20 mtu hawezi chukua .