Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,431
- 3,068
Nimesoma janga linalokupitia na limeniuma moyoni kwasababu nilipitia hili janga na matatizo mengine makubwa zaidi ya haya
Kiuhalisia watanzania wengi tunaishi ndani ya msongo mkubwa wa mawazo kwasababu lolote likitutokea wengi wetu hatuna watu tunaowafahamu ambao wanaweza kutupa msaada hawa wa laki Moja
Kiuhalisia watanzania wengi tunaishi ndani ya msongo mkubwa wa mawazo kwasababu lolote likitutokea wengi wetu hatuna watu tunaowafahamu ambao wanaweza kutupa msaada hawa wa laki Moja