Anhaa sawa maana niliona Diploma iliyokuwepo ni ya wale wanaotaka kuaupgrade
Diploma ipo mkuu soma guide book yao mwaka huu
Diploma ipo mkuu soma guide book yao mwaka huu
Diploma ipo mkuu soma guide book yao mwaka huu
Mwaka huu wameweka ata ambao siyo inserviceIla fresh pamoja![]()
Basi kama huamini mkuuHuyo Alochaguliwa Vyuo Vya Afya Tuone Screen Short Yake
Endelea kusali mambo mazuri yanakuja.vipi jamani status zenu kuna mabadiliko yoyote,maana kwangu bado kimya wakuu
vipi jamani status zenu kuna mabadiliko yoyote,maana kwangu bado kimya wakuu
duh asante sana mkuu angalau umenipa moyoEndelea kusali mambo mazuri yanakuja.
asante mkuu kwa reply yakoHata huku bado
asante mkuu kwa reply yako
Uzi zote upo! Tulia kama ipo ipo mdogo wangu
sawa mzee wa kaziUzi zote upo! Tulia kama ipo ipo mdogo wangu
Kwa niaba tunashaukuruMliopata hingereni karibuni ulimwengu wa afya
Mkuu ata mdogo wangu ana sifa ila katupwa cheti badala ya diploma aisee nshukuru mungu kwa hilo pia bora ungeweka ata chuo umechaguliwa chuo gani na course gani watu wakusaidie kwani umeambiwa unconfim au?jaman nimechaguliwa kujiunga na chuo naomba mnisaidie mawazo ili kupata uhakika wa mambo yafuatayo 1: ni jins gan nitafanya confirmation na mwisho wa tarehe ninayotakiwa kuwa nimesha confirm tayar 2 kwa m2 anae upgrade kutoka ngazi ya chet kwenda diploma anasoma miaka mitatu ama ni mwaka mmoja pekee? 3 nina vigezo vya kutosha diploma lakin nimechaguliwa certificate kwa chuo ambacho kina diploma ya kozi husika uwezekano wa kubadili upo?
Wapi iyo mkuuKwa niaba tunashaukuru
nimechaguliwa certificate in clinical medicine njombe institute of health and allied science kwenye profile wamenandikia kwamba institute niliyochaguliwa itawasiliana na mimi kwa ajili ya confirmation sasa sijui wanapiga simu au watatumia emailMkuu ata mdogo wangu ana sifa ila katupwa cheti badala ya diploma aisee nshukuru mungu kwa hilo pia bora ungeweka ata chuo umechaguliwa chuo gani na course gani watu wakusaidie kwani umeambiwa unconfim au?