Uongo gani mkuu una uhakika naongea uongo au?umeangalia ukakuta mm mwongo au?Mbona unazungumza uongo kiongozi?
Uongo gani mkuu una uhakika naongea uongo au?umeangalia ukakuta mm mwongo au?
Kama wamekosa waseme wamekosa siyo kutuhumu watu uongo nimekuambia login unasema mimi mwongoZimetokaaa bhanaaa...
Mkuu kama wewe umezoea kuambiwa au kusema uongo basi ni weweNdio nimeangalia ni uongo
Hiyo ya dogoMkuu kama wewe umezoea kuambiwa au kusema uongo basi ni wewe View attachment 1198419
Mkuu kama wewe umezoea kuambiwa au kusema uongo basi ni wewe View attachment 1198419
Mkuu kama haioneshi chochote kuna uwezekano mkubwa kakosa au asilimia chache kupata ata mimi kuna dogo ilikuwa hvyo hvyo baadae wakaleta amekosa kutokana na ushindani
Kweli mkuu zimetoka siwezi kukudanganya ila inaonekana vyuo vya afya wengi watakosa mana ata mimi mdogo wangu sijaamini kama amekosa diploma kapangwa cheti sema siyo mbaya atabadilisha uko uko akienda
Njombe institute of health and allied scienceAmepata chuo gani?
Njombe institute of health and allied science
Njombe institute of health and allied science