NACTE, tangazo lenu limekuja kwa kuchelewa

NACTE, tangazo lenu limekuja kwa kuchelewa

......taarifa za chini chini ndugu zangu,,, ni hivi,,,,ualimu kwa ngazi ya dip for primary school
imefutwa na baadala yake imelejeshwa certificate.............

mkuu hata mm niliskia nlipoenda chuo flan private mkuu was chuo akanambia vivyohvyo. na Leo pia nmeskia japo nacte hawajasema lolote, I think ndo maana kwenye tangazo lao LA tar 29july wamesema wanasubir mwongozo wa srkali!!""!
 
......taarifa za chini chini ndugu zangu,,, ni hivi,,,,ualimu kwa ngazi ya dip for primary school
imefutwa na baadala yake imelejeshwa certificate.............
Inawezekana kweli, maana nilifanya Machaguo mapya na ikawa selected Certificate AMUCTA. Lakini leo tena wamefuta tena hiyo selected. Nashindwa kuwaelewa kabisa.
 
Nimeona tangazo la Nacte la Leo tar 29 July linaloowaomba walioomba vyuo vya ualimu vya serikali wasifute machaguo yao wasubiri utaratibu utakaotolewa hapo baadaye. Wengine tayari wameshafuta na kufanya machaguo mapya na bahati mbaya vyuo vya ualimu vya serikali havionekani tenà hao mnawasaidieje?
Namimi naomba kujua namna ya kuangalia selection nacte kwa aliechaguliwa nimuangalizie dogo langu

Ahsante
 
mkuu hata mm niliskia nlipoenda chuo flan private mkuu was chuo akanambia vivyohvyo. na Leo pia nmeskia japo nacte hawajasema lolote, I think ndo maana kwenye tangazo lao LA tar 29july wamesema wanasubir mwongozo wa srkali!!""!
Mkuu unaangaliaje selection nacte? Ebu nisaidie kuna dogo amesahau password sasa cjui inakuaje
 
Wamekuandikia ni nini?


NEEMA MAARIFA ALPHONCE :: Admission Status

ADMISSION STATUS

SELECTION STATUS:

Sorry! You have not been selected to any of choice(s) you made due to various reasons,
You are advised to click here for more information and option on what to do next.
You are also encouraged to read the admission guidebooks as they may assist you in choosing an appropriate option
 
Lakini mwanzo walinipa Hongera umechaguliwa AMUCTA . Nimepiga chuoni wamesema hawana kozi ya ualimu ngazi ya certificate isipokuwa wana Diploma
 
NEEMA MAARIFA ALPHONCE :: Admission Status

ADMISSION STATUS

SELECTION STATUS:

Sorry! You have not been selected to any of choice(s) you made due to various reasons,
You are advised to click here for more information and option on what to do next.
You are also encouraged to read the admission guidebooks as they may assist you in choosing an appropriate option
Mwanzon ulikuwa selected au?
 
Kwa staili hii ni haki rais Magufuli aendelee kuwatumbua watu wazembe kama NACTE, haiwezekani washindwe kutoa tangazo mapema kuhusu selection za ualimu hadi watu wameisha futa profaili zao ndio wanakuja na gia eti msifute mlikuwa wapi hilo tangazo lenu kulijumuisha na lile la tarehe 22/7/2016?. Kwa tabia hii ya ubabaishaji munatutia wasiwasi upande wa utendaji kazi wenu.Kwa ufupi nyinyi ni MAJIPU uchungu na kwa uzembe mlioufanya wa kusababisha watu wafute machaguo yao kwa upande wa elimu nawaombea mtumbuliwe ili siku nyingine muwe makini na kazi zenu.

Lkn ujui hili sio la nacte wizara ya elimu inahusika sana hapo ndio wanaowababaisha nacte. Jiulize kwa nini liwe kwenye ualimu tu wakati fani nyingine zimestabilazi. Kaa uwaze na kuchambua utaona tatizo lipo wapi.
 
Ni hatareee sana hawa NACTE ni jipu
Leo wameibuka na hii tena
PLEASE CHECK ADMISSION STATUS:

Congratulations! You have reached the end of admission application process, below is a summary of your application status.
Please review it and make follow up in the places which require your attention.

SNItemRecommendationActionStatusBasic Details1.Personal DetailsMake sure all your personal details are filled correctlyNAOKEntry Requirements2.Certificate of Secondary Education ExaminationRequired Qualification foundNAOKProgramme Choice3.You have made 6 Choice(s) out of 6Now Wait for selectionNAOK
 
Lkn ujui hili sio la nacte wizara ya elimu inahusika sana hapo ndio wanaowababaisha nacte. Jiulize kwa nini liwe kwenye ualimu tu wakati fani nyingine zimestabilazi. Kaa uwaze na kuchambua utaona tatizo lipo wapi.
Ni kweli mkuu nimeongea na mmoja wa wakuu wa chuo cha ualimu amesema vyuo kumi vya serikali vimepangiwa wanafunzi waliofukuzwa udom kwa ajili ya diploma hivyo inaweza ikawa si rahisi sana kwa walioomba kupitia nacte kupata nafasi kwa baadhi ya vyuo vya serikali hususani kwa diploma.
 
Km kuna mtu aliyeapply uwalimu iv karbu na vyuo vy serikal kaviona naomb anijulishe ili nmfanyie maomb ndugu yang
 
Mkuu vyuo vya serikali hakuna hata kimoja kwenye system ila kunavyuo vya private vinatoza ada nafuu kidogo. Ila labda niulize kwa walioaply mwanzoni kwan ada za vyuo vya serikali vina range kwenye shiling ngap?
 
Mkuu vyuo vya serikali hakuna hata kimoja kwenye system ila kunavyuo vya private vinatoza ada nafuu kidogo. Ila labda niulize kwa walioaply mwanzoni kwan ada za vyuo vya serikali vina range kwenye shiling ngap?
Range 200,000
 
Back
Top Bottom