we ni mzembe anyway una kila sababu ya kuanza mazoezi ili mzunguko wa damu wako ukae vizuri la sivyo utakula hasara mbeleni huko
Daaah! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume goigoi km ww lazima nimtafutie mtu wa kumsaidia,,
Ugali hudumaza akiliKula dona mzee,acha kula sembe
Sio kweli, utafiti huu aliyefanya anafaa atumbuliwe na apokonywe vyeti Mara mojaUgali hudumaza akili
Mh mngoni?Labda unakuwa umefanya na mtu kutoka kwenye makabila haya;
Mzaramo
Mngoni
Mkwere
Mdigo
Mmakonde
Mndengereko
Hilo jina lako linasadifu yaliyomo. Ni utamaduni wenu tu wala hauna tatizo lolote. Ndo mlivyo. Kuwa na amaniMi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
MmmmmmhMwanaume goigoi km ww lazima nimtafutie mtu wa kumsaidia,,