We nyeto umepiga lakini?Kamsemee kwa babaake
Ndo nimemaliza bao la pili hapa nilaleWe nyeto umepiga lakini?
Kitambo sana nshakimwaga, hapa natafuta usingizi tuuEti mkuu umeshapiga? Unaulizwa huko
Pumbaavu!! 😂😂😂😂Kwa kweli hamueleweki 😆😆😆 maana sample ya safari hii haikuwahi kuwepo kwenye database yangu kabsa
Kabisaaa uduguu, 😂😂😂😂😂Huyu yeye ndo anateseka na huyo demu, ukute mwenzie hana hata time naye ni yeye na mawazo yake ya kicenge 😹😹
😂😂😂😂😂Dark+tall+intelligent 🧠...labda kadata hapo...maana nyie mambo yenu mnayajua wenyewe😆
Nyie ndo mnafanya taifa lichelewe kuendelea. Umeenda kufanya kazi au kupiga story na pisi!?Habari zenu wana JamiiForums,
Nimekuwa nikifanya kazi sehemu moja na msichana mmoja kwa miezi 3 sasa, hatufanyi majukumu sawa na Wala hakuna namna tunategemeana, lakini tangu siku ya kwanza tulipokutana, hajawahi kunisalimia yaan Ile "good morning" , "shikamoo" or whatever. Hata nikianza kumsalimia mimi sina hakika kama aliwahi kuitikia...maana Huwa simsikii...kiufupi hatujawahi kuongea hata kwa sekunde 2...ni ananikwepa vibaya mno.
Yaan yuko radhi ahame sehemu aliyokuwa amekaa akiniona nimesogea hapo na anapenda kama kunichunguza hivi ninapokuwa napiga stori na wengine huwa ni kama ananitazama kwa umakini sana akiwa mbali kidogo.
Kinachonishangaza zaidi wenzangu wengine anazungumza nao vizuri sana, anacheka, anasalimia, anashiriki mazungumzo. Demu mwenyewe Sasa hana maajabu...mfupi, nyama Hana yaan balaa tupu...anisamehe kwa majungu kidogo.
Ndugu zangu wataalam wa saikolojia naomba mnisaidie kuingia kwenye ubongo wa huyu dada mnifunulie kilichomo maana babq yenu ninachoka, ninachoka sana.
Natanguliza shukrani!..
Aisee na wewe pambana mpka uache kujihusisha kabisa na mambo ya watu...maana hata kushauri hauwezi.Ni vile niliacha kujihusisha na Mambo ya watu ila Kama si hivyo ningekushauri Jambo moja zuri Sana .
Anyway pambana mpaka useme ukweli kuwa umemzimikia ila unajifaragua faragua hapa kwenye jamvi la mjomba wangu pasina kulipa chochote
Kaka usinijibu hivyo uwa sikawaii kumroga Mtu ,shauri zakoAisee na wewe pambana mpka uache kujihusisha kabisa na mambo ya watu...maana hata kushauri hauwezi.
Samahani sana kaka, sikujua kama wewe mrozi😆...nisamehe mimiKaka usinijibu hivyo uwa sikawaii kumroga Mtu ,shauri zako
Endelea kunichokoza ,Mimi Niko zangu bize na maumivu ya nchi yangu alafu wewe unamleta utani ,haya wewe nitafute ukianza kuachwa na kufukuzwa kazi usije kulialia hapa maana uchokozi ulianzisha wewe .
Ila una masaa mawili kuniomba msamaha kabla sijafunga chumba Cha msamaha moyoni mwangu.
Wewe ubamtaka ila yeye anakuona kama unanuka.Habari zenu wana JamiiForums,
Nimekuwa nikifanya kazi sehemu moja na msichana mmoja kwa miezi 3 sasa, hatufanyi majukumu sawa na Wala hakuna namna tunategemeana, lakini tangu siku ya kwanza tulipokutana, hajawahi kunisalimia yaan Ile "good morning" , "shikamoo" or whatever. Hata nikianza kumsalimia mimi sina hakika kama aliwahi kuitikia...maana Huwa simsikii...kiufupi hatujawahi kuongea hata kwa sekunde 2...ni ananikwepa vibaya mno.
Yaan yuko radhi ahame sehemu aliyokuwa amekaa akiniona nimesogea hapo na anapenda kama kunichunguza hivi ninapokuwa napiga stori na wengine huwa ni kama ananitazama kwa umakini sana akiwa mbali kidogo.
Kinachonishangaza zaidi wenzangu wengine anazungumza nao vizuri sana, anacheka, anasalimia, anashiriki mazungumzo. Demu mwenyewe Sasa hana maajabu...mfupi, nyama Hana yaan balaa tupu...anisamehe kwa majungu kidogo.
Ndugu zangu wataalam wa saikolojia naomba mnisaidie kuingia kwenye ubongo wa huyu dada mnifunulie kilichomo maana babq yenu ninachoka, ninachoka sana.
Natanguliza shukrani!..
Sawa ni kufanya kazi mkuu...lakini ndio tusijali utu...tunawezaje kusonga mbele bila utu?😊Wewe ubamtaka ila yeye anakuona kama unanuka.
Otherwise kwa nini hata unamuongelea hapa she is kiving rent free in your head?
Si umpotezee tu?
Uko kazini kufanya kazi au kutafuta wanawake?