Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,546
- 3,017
Umeshasema kuwa hana maajabu sasa
Sisi tuingie kwenye ubongo wake kuchunguza nini
Sisi tuingie kwenye ubongo wake kuchunguza nini
Huwezi fungua mlango wa mwingine kama wako umekushinda kufungua...Habari zenu wana JamiiForums,
Nimekuwa nikifanya kazi sehemu moja na msichana mmoja kwa miezi 3 sasa, hatufanyi majukumu sawa na Wala hakuna namna tunategemeana, lakini tangu siku ya kwanza tulipokutana, hajawahi kunisalimia yaan Ile "good morning" , "shikamoo" or whatever. Hata nikianza kumsalimia mimi sina hakika kama aliwahi kuitikia...maana Huwa simsikii...kiufupi hatujawahi kuongea hata kwa sekunde 2...ni ananikwepa vibaya mno.
Yaan yuko radhi ahame sehemu aliyokuwa amekaa akiniona nimesogea hapo na anapenda kama kunichunguza hivi ninapokuwa napiga stori na wengine huwa ni kama ananitazama kwa umakini sana akiwa mbali kidogo.
Kinachonishangaza zaidi wenzangu wengine anazungumza nao vizuri sana, anacheka, anasalimia, anashiriki mazungumzo. Demu mwenyewe Sasa hana maajabu...mfupi, nyama Hana yaan balaa tupu...anisamehe kwa majungu kidogo.
Ndugu zangu wataalam wa saikolojia naomba mnisaidie kuingia kwenye ubongo wa huyu dada mnifunulie kilichomo maana babq yenu ninachoka, ninachoka sana.
Natanguliza shukrani!..
Mtego huo, na kazini mgeni.Mtongoze, hayo yote yanayoendelea yatabaki historia
Utu pia ni pamoja na kutolazimisha watu wasiokupenda wakupende.Sawa ni kufanya kazi mkuu...lakini ndio tusijali utu...tunawezaje kusonga mbele bila utu?😊
Acha tamaa, fanya kaziKazi na utu tunasonga mbele kiongozi...ama vipi
Haha the latter the betterAcha ujinga
Mnakula msosi ofisini.. Wewe na boss wako mkatafute hela.Mkuu huyo demu simuelewi kabsa, sio kama hivyo...leo kapewa chakula aniletee kafika ame-drop off sahani ya msosi mezani kwangu nilipokuwa nmekaa bila "a" wala "e"...akapotea shwaaa
Nani wa kujua hili zaidi yako🤣🤣Wanaume wengine bhana, km mabinti Lol
Facts 💯Haha the latter the better
Maandiko yako yote ni kulalamika kuwa hakupendi, hakujali.Wewe umejuaje kama hanipendi/ananipenda au wapi nmesema ninamlazimisha anipende mkuu ndugu?
Unalalamika nini kwa huyo binti kama sio tamaa zako mbaya.????Tamaa sina mkuu, na kazi tunafanya mbona
Anampenda ndomana anateseka hivo!