1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Dah eti hii timu iliifunga Simba mabao 5 1, wajinga wakubwa nyie, wahuni wakubwa nyie, wezi wakubwa, majambazi wa soka nyie, wanyela wakubwa.
Azam mmefanya uzalendo sana leo, japokuwa mmeshinda lkn ilikuwa mshinde mabao 8 leo, Jibrik Sylla, Kipre Junior walikuwa na uwezo wa kumaliza mchezo mapema kabisa kama sio mapenzi yao kwa Yanga.
Sasa subirini Mamelod bumbavu nyie
Azam mmefanya uzalendo sana leo, japokuwa mmeshinda lkn ilikuwa mshinde mabao 8 leo, Jibrik Sylla, Kipre Junior walikuwa na uwezo wa kumaliza mchezo mapema kabisa kama sio mapenzi yao kwa Yanga.
Sasa subirini Mamelod bumbavu nyie