Nyamshongoma
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 542
- 771
Toka mwaka juzi kipindi kile Cha DP World
anapocheka kusema "near" yaani "nia" anapambana kuficha kuwa ni "Tanzania". kwa kweli ametugawanya sana. kafunga makanisa watu hata hawaabudu wakiwa na ustaadhi jumanne mullilo.
ameonekana asiee, hadi kwa watu ambao mimi huwa siwaamini wameibuka kuongea. "nia" that place, mazuzu hayajang'amua tu anachopambana kuficha. tanza"nia". kumbe mama wa watu amezungukwa na watu wenye nguvu hadi maamuzi ya kuteka na kuua watu hayakuwa yake, kila kitu anapelekeshwa tu. hivi inakuwaje na sisi tunatawaliwa na mwanamke aisee, yaani mwanamke apake wanja aje atutawale? dah.Msoga ni kama kirusi, mpaka kwenye ramli anaonekana🤣🤣🤣🤣
Near that place...! Almost done!👌🏿📌🔨
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu pastor anasema tusali ili busara ipatikane, ninadhani itakua rahisi kushinda bahati nasibu kuliko kupata hii busara.
Hii ya 3 yrs a go,ulikuwa wapi..... jitahidi kuwa updated 😅
kwa kweli mimi muda wa kupiga magoti nimwombee kizimkazi sina. sina muda wa kupoteza ivyo, labda niwaombee familia zilizopoteza watoto wao kwa kutekwa na kuuawa.Huyu pastor anasema tusali ili busara ipatikane, ninadhani itakua rahisi kushinda bahati nasibu kuliko kupata hii busara.
kuna ya 3 yrs a go na ya last yr,km umemsikiliza vzr hizo mistake zishafanyika Kwa Ile ya kwanzakwa kweli mimi muda wa kupiga magoti nimwombee kizimkazi sina. sina muda wa kupoteza ivyo, labda niwaombee familia zilizopoteza watoto wao kwa kutekwa na kuuawa.
Ya mwaka janaHii ya 3 yrs a go,ulikuwa wapi..... jitahidi kuwa updated 😅
Ila mwaka jana Tena km sikosei aliongea tena