Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Alikuwa chini ya mwamvuli wa kanisa lingine lililosajiliwa 2008,hapo ni kwamba huduma yake inajulikana ipo chini ya kanisa la mwanzo huku yeye akisubiria usajili wake
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
kama lilisajiliwa mwaka 2008 na yeye ana miaka 22 sasa, inamaana mtu mwenye miaka 12 aliruhusiwa kusajili na kuendesha kanisa kikatiba na kisheria?
Huo ni mwaka wa usajili wa kanisa si lazima yeye kuwa alikuwa kiongozi ...makanisani viongozi wengi wanapita
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧