Frank King
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,310
- 886
Wajina aendelee kukusanya sadaka zake atauche na maamuzi yetu.
Ha ha haaa .."nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu " Duuuu!! Nyie ndio mnakamliwa pesa na mmeshapumbazwa hamuoni kitu.
Soma habari zake:
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Joe Devie wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.
Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum
Huyo ndiye Nabii!!! anayetaka tuchague kiongozi tunayemtaka
Nabii wa hao wanaomsikiliza tumemwona Nabii Tito atakuwa huyo aende zake Watanzania sio WapumbavuHuyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Huyo jamaa ni mpigaji, anawapumbaza waumini wake anawakamua kinyama, kifupi huyo ni mhalifu, halipi kodi.Nimemsikiliza Huyu takataka kabisa, anasema yeye sio mwanasiasa ,pia waimini wake waachane na siasa ,lakini hapohapo anasema mchagueni Magufuli.
Yule mashimo ni comedian, na hana kitu lakini huyu ni bilionea anayewakamua waumini wake bila huruma,Hivi kati ya huyu (nabii mkuu) na Komando Mashimo (nabii na mchungaji wa maaskofu na manabii wote TZ) nani ni mkubwa zaidi ya mwenzie?
Wa kujiaibishaHuyu nambii
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Mtumishi huyu yuko vema arusha inazizima akitoa tamkoUnamfahamu vizuri? Ana mawe ya kutosha hana njaa.
Nafahamu mkuu
Yewooomii🙆♂️Daudi huyu mtu walimshika na mkono wa Albino,,,,Huyu jamaa alikuwa hayupo,karudi juzikati tu.alikuwa na tuuma nzito na serikali...hii issue Ilizimwa kimya kimya,na akakubaliana na masharti yakumpigia debe mkulu 2020
Askofu huyu yuko vizuri sip hao kinashoo"nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu " Duuuu!! Nyie ndio mnakamliwa pesa na mmeshapumbazwa hamuoni kitu.
Soma habari zake:
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Joe Devie wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.
Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum
Huyo ndiye Nabii!!! anayetaka tuchague kiongozi tunayemtaka
Huyu mchumia tumbo anatufundisha mtu wa kumchagua? Tapeli linalowaibia waumini wake. Kama si mwanasiasa anahangaika nini na Magufuli? Anampigia debe kwa nini?Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780